Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Wataalamu wa friji na freezer hizi mbao kama stand hapo chini ya friji, huwa zinasaidia nini au tunajipa kazi za bure tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo wanapenda sana kuboresha [emoji23][emoji23]Hii ndo tz mkuu
Mbona friji nyingi chini zinakuwa na stand kabisa na bado wanaweka juu ya mbaoInasaidia wakati wa kufanya usafi maji yasiingie uvungu wa friji hata yakitokea mafuriko madogo friji inakuwa salama. Mengine wataongezea wataalam
Sio tu kuboresha ni kuambukizana vijiabiawabongo wanapenda sana kuboresha [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wengi tunatumia na hatujui kazi yakeSio tu kuboresha ni kuambukizana vijiabia
Wanakuonea huruma [emoji3]Mm kwangu sijaweka nimeweka friji kama friji yenyewe tu[emoji23] basi kila mtu akija lazima ahoji kwann sijaweka?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepata kitu hapa, asante mkuuMiaka ya Nyumba baadhi ya mfumo wa upoozaji wa frige ilikua designed kukaa huko chini,
Hivo hizo mbao kama stand ziliwekwa kusaidia upoozaji yani kuwe na nafasi ya kutosha kuruhusu hewa kati ya fridge na sakafu.
Siku hizi aina hiyo za frige hakuna tena, mifumo ya upoozaji imewekwa kwa nyuma nyingine Kwa pembeni ya fridge hivo hizo mbao hazina uhitaji tena.
Kujitesa au sioFasheni tu za waswahili [emoji16][emoji16]
😂😂😂😂hata yakitokea mafuriko madogo friji inakuwa salama
Mbona friji nyingi chini zinakuwa na stand kabisa na bado wanaweka juu ya mbao
Mbona friji nyingi chini zinakuwa na stand kabisa na bado wanaweka juu ya mbao
Tumerithi hii tabia na usitufokee sheikhWataalamu wa friji na freezer hizi mbao kama stand hapo chini ya friji, huwa zinasaidia nini au tunajipa kazi za bure tu.
Ukute na wewe umeweka kwako[emoji23]Tumerithi hii tabia na usitufokee sheikh
Ndo maana nikasema tusifokewe aisee.Ukute na wewe umeweka kwako[emoji23]