plagiarism
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 133
- 296
Umenichekesha sana mwamba [emoji23][emoji23]Ndo maana nikasema tusifokewe aisee.
Ngoja leo nikifika naitoa ingawa ndo mwanzo wa friji kuanza kushika kutu kwa yale maji ya deki.
Mtoa uzi una nafasi yako motoni[emoji1787]
Naomba upate a good glass of wine on my accountMiaka ya Nyumba baadhi ya mfumo wa upoozaji wa frige ilikua designed kukaa huko chini,
Hivo hizo mbao kama stand ziliwekwa kusaidia upoozaji yani kuwe na nafasi ya kutosha kuruhusu hewa kati ya fridge na sakafu.
Siku hizi aina hiyo za frige hakuna tena, mifumo ya upoozaji imewekwa kwa nyuma nyingine Kwa pembeni ya fridge hivo hizo mbao hazina uhitaji tena.
Kutu, kutu, kutu ikiwa fridge hutiririsha matone ya maji chini.Mm kwangu sijaweka nimeweka friji kama friji yenyewe tu[emoji23] basi kila mtu akija lazima ahoji kwann sijaweka?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio,nimenunua karioo msimbaziMkuu hiyo ndo friji yako?[emoji23][emoji23]aiseeh
Ndio,nimenunua karioo msimbazi
Bei sawa na bure laki tu,lakini haigandishi[emoji23]sh.ngapi na mimi nataka kama hiyo braza
Natumia kama AC usiku nafungua mlango wa friji[emoji23]sh.ngapi na mimi nataka kama hiyo braza
Natumia kama AC usiku nafungua mlango wa friji
Ugunduzi sio lazima ugundue lindegeAiseeh