Hii inatokea na inawezekana tu Tanzania, hivyo acheni wenye Akili watucheke na watudharau kwani tumejitakia na tunastahili

Pumbavu Hayati hupewa sana Public Figures ( na hasa hasa ) Marais ( Watawala )

Jambo dogo tu linakushinda kulijua je, hii Mada inayohitaji Akili Kubwa Kuijadili utaweza kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwendraaaaa huyo sio HAYATI wala MAREHEMU

Huyo ni MWENDAZAKE!!!!
 
Mkuu hata mimi nilikuwa na bado nina msimamo kama wako ila nimelegeza msimamo kidogo kutokana na vigezo vifuatavyo;
1: Katiba inamtaka Rais anayeshikilia kiti cha urais kwa mazingira kama yaliyotokea chini ya miaka mitatu ataruhusiwa kugombea tena na tena.Yaani kama Magufuli angefariki akiwa amebakiza mwaka mmoja basi rais SSH angeruhusiwa kugombea tena 2025 na 2030.

2: Kwakuwa SSH ameshika kiti ikiwa imebaki miaka minne awamu hii imalizike,Kikatiba hatoruhusiwa kugombea tena 2030 so kwa maana nyingine ni kama hii ni awamu yake ya kwanza ya urais kisha atamalizia awamu yake ya pili 2025 nadhani ndiyo sababu ameamua kuiita awamu ya sita.
 
Asee naona watu kama tunatofautiana sana ktk kuitafsiri katiba. Kwa upande wangu naona ipo wazi sana maana ktk mazingira hayo inaeleza kwamba,
Makamu wa rais ataapishwa kuwa rais na kwamba kama muda uliobaki kumalizia awamu ni mfupi( chini ya miaka 3) basi atamalizia awamu hiyo,
Na kwamba kama bado kunamuda wa kutosha( zaidi ya miaka mitatu) kama ilivyotokea kwa nchi yetu basi rais atakayeapishwa hiyo itakuwa awamu yake ya kwanza.
My take: kama hii ni awamu/ muhula wa kwanza kwa mheshimiwa SSH( kwa mujibu wa katiba) basi haihitaji elimu ya chuo kikuu kujumlisha awamu zilizopita na hii ili kupata awamu sita.
 
Mkuu hiki ulichokisema ndicho kinapatikana ktk sheria mama( katiba).
Hapa naanza kuamini ule msemo kwamba ukitaka kumficha kitu mtiz, kiweke ktk maandishi.
Shida hapa naiona kwamba wengi wetu hatutaki kusoma na kuelewa.
 
Mkuu kwa namna ulivyoandika Uzi wako no wazi kwamba umeisoma katiba 'juujuu' sana kisha ukaja kuleta Uzi wako hapa. Bado unaomuda wa kuipitia vizuri na utaielewa tu.
Hiyo sentensi ya mwisho ungeiandika ukiwa umejiridhisha vya kutosha ktk kuisoma ile ibara ya 37 ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Ukikuta inaeleza tofauti na unavyoelewa wewe utakuwa umekosea sana ktk huu uzi.
 
Mi lia nashangaa kujiita ei Rais wa Awamu ya Sita na walka watu wake hawamsahihishi. BAdo awamu ni ya Tano yeye ni RAsi wa Sita lakini anaiongoza awamu ya tano mpaja 2025.
 
Inaitumia vibaya nafasi uliyopewa. Huu utumbo uliocharaza hapa ni wa kiwango cha lami.
 
Leo Watu wa Mitandaoni tumetishiwa na kuambiwa kuwa kumbe tunajulikana na wakikutaka basi
Kumbe mtu mwenyewe mwoga hivi?? Wakati ulipokiwa unatumia ile ID nyingine miaka yote si ulikuwa unajiita wewe ni Geneius na una high profile. Tena ukawa unajinasibu wewe ni mnyarwanda?
 
Mi lia nashangaa kujiita ei Rais wa Awamu ya Sita na walka watu wake hawamsahihishi. BAdo awamu ni ya Tano yeye ni RAsi wa Sita lakini anaiongoza awamu ya tano mpaja 2025.
Mkuu mbona kama unaumia Samia kuwa Rais,
 
Mimi mwenyewe kumuita rais napata kigungumizi, maana hajachaguliwa kwa sanduku la kura na hajashindana na mtu yoyote akamshinda.bado ni makamu wa rais japo kakaimu nafasi ya urais

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…