All Kenyan cities combined vs Beautiful Dar es salaam.Dar es salaam vs Mombasa Ni kitu Cha kweli Ila kina joto la jiwe babayao255 watapinga kwa povu lakini wanajua ukweli.
Bait, hook and sinker couldn't be resisted by your mouth.All Kenyan cities combined vs Beautiful Dar es salaam.
Whatever,Bait, hook and sinker couldn't be resisted by your mouth.
wataumia hadi tumboniDar es salaam vs Mombasa Ni kitu Cha kweli Ila kina joto la jiwe babayao255 watapinga kwa povu lakini wanajua ukweli.
Mkuu unaijua hii [emoji116][emoji116][emoji116]Wakilink hizi bridge na ile ya Likoni, we can officially forget DAR because South coast will never be the same again.
Naona pichaMkuu unaijua hii [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1258255
Karibu ujifunze[emoji116][emoji116][emoji116]Naona picha
Wapi Babaa ndio tunaanza BudaππWakenya mnaumia Sana..zile Zama zenu za kutamba zilishafika kikomo
Dar inashindana na Mombasa πππ usisahau bandari kubwa Ukanda huu Ni ya Mombasa, Dual carriageway kubwa zaidi Kati ya Dar na Mombasa ipo in Mombasa hata daraja kubwa zaidi itakuwa tu hapa Mombasa.Mkuu unaijua hii [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1258255
Bro amka kwenye ndoto yako Kali. Mombasa tayari imewashinda kwenye Port na barabara sijui nini kingine unataka zaidi ya hapo.All Kenyan cities combined vs Beautiful Dar es salaam.
Niamke kwenye ndoto Ulisikia Mombasa siifahamu au,Bro amka kwenye ndoto yako Kali. Mombasa tayari imewashinda kwenye Port na barabara sijui nini kingine unataka zaidi ya hapo.
Umekurupuka kwa kutoa POVU ππ ungejibu kuwa unajua Mombasa Port Ni kubwa na pia Mombasa Kuna dual carriageway isiokuwepo Dar es salaam. Hapo naona hujakataa Ila umehamishia goli Kibera πππNiamke kwenye ndoto Ulisikia Mombasa siifahamu au,
Au Unafikiri kila mtu anajifungia kibera.
Alistahili kujibiwa vile ndio maana nikamjibu vile.Umekurupuka kwa kutoa POVU ππ ungejibu kuwa unajua Mombasa Port Ni kubwa na pia Mombasa Kuna dual carriageway isiokuwepo Dar es salaam. Hapo naona hujakataa Ila umehamishia goli Kibera πππ