Hii inawahusu wanaume wote wenye haiba za kike kike

Hii inawahusu wanaume wote wenye haiba za kike kike

Hili la kutokuoga ukae unanuka kama beberu ni asili ya kabila lenu huko kwenu Kongwa na wala halina uhusiano na uanaume.
 
Yani uko ndio pabaya zaidi...nikionaga tu yale maji basi kizunguzungu nitakachokipata sio cha nchi hii
Umenishinda Tabia....
Twende kwenye garden za watoto tukabembee.... Me sitaki uchague sehemu za meeting utanifilisi... [emoji23] [emoji23]
 
Umenishinda Tabia....
Twende kwenye garden za watoto tukabembee.... Me sitaki uchague sehemu za meeting utanifilisi... [emoji23] [emoji23]
Weh! Yani uko ndio pabaya zaidi....una pesa za kulipia uharibifu?????maana kitendo cha kuweka mwili wangu kwenye bembea na hizi kilo..guess nini kitakachofuata...
 
Haya mleta mada, umeshamaliza? Nenda sasa kaoge, ujipulizie pafyumu, vaa sketi yako na viatu vya mchuchumio, nenda Ilala Boma kupeleka kesi ya kutekelezwa mtoto wako. Shwaini wewe, huna mawazo ya kiume hata chembe japo wajidai ni mwanaume! La sivyo, basi "mtoto si riziki wewe".
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
1. _*Mwanaume unaandika*_ *_text/unajibu "k, pw, thx" au unaandika "jomooni, jamoni"_*
*_Happy women's day to you!_*

2. _Mwanaume unapiga selfie umeng'ata lips!_
_Happy women's day to you!_

3. *_Mwanaume unaangalia Nirvana, wanawake live,_* *_telemundo na shilawadu.._*
*_Wewe pia tukutakie Happy_* *_women's day to you!_*

4. _Mwanaume unaoga oga sana kama Dada zako( Mara 3 na +) kwa siku,au unakaa bafuni nusu saa!_
_Happy women's day to you!_

5. *_Mwanaume unajichubua, una dressing table kabisa.. Unajua macream yote ya kimama mama.._*
*_Wewe ni jipu!_*
*_Happy women's day to you!_*

6. _Mwanaume unachat na msela afu unamwita "wangu/my"_
_Tabia za kishogalizing hizi.._
_Happy women's day to you!_

7. *_Mwanaume unagombania siti kwenye daladala halafu mwanamke amesimama,_*
*_Aisee biggest Happy women's day to you!_*

8. _Mwanaume unaogopa mende, panya, Giza, au kulala mwenyewe!_
_Happy women's day to you!_

9. *_Mwanaume hubet, haushabikii soka, wala mieleka, wala ngumi, Hata ukipishana na tetemeko la ardhi hugeuki!_*
*_Wewe ni mwanaume hewa!_* happy woman's day

10. _Mwanaume uko too submissive kwa mkeo.. Yaan_ _mke ndio anakuamulia cha kufanya..umeshikiwa akili!_
_Unalelewa!_
_Happy women's day to you!_
Namba 3,6,9,hauko sahihi sana,
Tamthilia kama telemundo,ni hoby,kama wengine wanavyopenda mpira,hata wapo wanawake wanapenda kuchek soka,
Neno kuitana wangu,nilianza kulisikia tangu 96,kabla hata ya ujio wa smart phone bongo,shule Moja ya bording huko mbeya vijijini,tulikuwa tunawatambia wanafunzi wenyeji,kwa kuzungumza kiswahili cha mji,cha Uzalamuni,cha ki chekbob,sio hiki cha kwenu cha wapaka poda,
 
We nawe peleka utoto wako huko nyie ndo wanukaa pum** hiyo namba 40hapa mjini unaachaje kuoga hata mara mbili kwa siku???we na unayemlala wote wanuka shombo mi mwanaume asiyeogaa namuonaga kama budege
Kweli leo nmekanyaga menstrual blood
 
Back
Top Bottom