Hii inaweza kuwa dalili kwamba nimepata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI?

Hii inaweza kuwa dalili kwamba nimepata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI?

Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
Dalilo hizi huwa kinara
1. Rashes
2. Tezi na tonses
3. Mafua fua
4. Kohoma cha hapa na pale
Ikimalizika vitapoa ila sasa hapo vinakuwa viko jikon vyenyewe kwa vyenyewe kufanya mapenzi na kuzaliana zaiid.
NB. Pima upate majibu ya uhakika yamkin uko mzima kabisa wa afya, ila ukipima mara ya kwanza rudia tena baada ya miezi mitatu. Mungu akuepushe ndugu yangu
 
Screenshot 2025-02-14 181544.png
 
Dalilo hizi huwa kinara
1. Rashes
2. Tezi na tonses
3. Mafua fua
4. Kohoma cha hapa na pale
Ikimalizika vitapoa ila sasa hapo vinakuwa viko jikon vyenyewe kwa vyenyewe kufanya mapenzi na kuzaliana zaiid.
NB. Pima upate majibu ya uhakika yamkin uko mzima kabisa wa afya, ila ukipima mara ya kwanza rudia tena baada ya miezi mitatu. Mungu akuepushe ndugu yangu
Amen
 
Back
Top Bottom