and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Ngoja kwanza...😎😎😎😌
We huyo uliyekuwa unamchakata ulimtolea wapi hadi ukajiamini usitumie kinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja kwanza...😎😎😎😌
Alikua bonge sana !! tulikutana dukaniNgoja kwanza...
We huyo uliyekuwa unamchakata ulimtolea wapi hadi ukajiamini usitumie kinga?
Mama yangu weeh..Alikua bonge sana !! tulikutana dukani
We jamaa hovyo kabisa. Kwa hiyo ukajiaminisha kuwa ubonge ndiyo afya? Umejiunga kwenye gridi ya taifa kizembe sana aisee. TANESCO hoyeeee!Alikua bonge sana !! tulikutana dukani
Ave Ave Ave!!Wakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
mi rashez zimetokea mwilini na mkono mmoja zinawasha balaaHIV rashes kwenye hatua za mwanzon kabisa kuanzia wiki ya pili , hutokea usoni, au kifuani au mikononi au viganjani na huambata na muwashoo.
Hata hivo Dalili hiyo peke haitoshi, Kwan baadhi ya magonjwa yaambukizwayo Kwa ngono zembe ,pia Huwa Dalili hizohizo za awali.
au cyoHii imeenda...
ndo nnAve Ave Ave!!
KAZI ni kipimo cha utu
Utavuna ulichopanda , pamoja na misaada kusitishwa bado husikii?Wakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
AsanteNi wasi wasi wako tuu,huna hiv kaka
aiseePole sanaa mkuu,kula vizuri fanya mazoezi na pumzishaa mwili wako..
sawa mkuuUtavuna ulichopanda , pamoja na misaada kusitishwa bado husikii?
Nenda kapime usitujazie server
Ulozi ndio kitu ganiHivi kumbe wewe siyo kuwa na HIV tu bali hata ulozi unao😳
Hata sikuamini kakaWe jamaa hovyo kabisa. Kwa hiyo ukajiaminisha kuwa ubonge ndiyo afya? Umejiunga kwenye gridi ya taifa kizembe sana aisee. TANESCO hoyeeee!
View attachment 3236451
uchawi au mambo ya kuagua aguaUlozi ndio kitu gani