Dalilo hizi huwa kinaraUshuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
duuhhUmemuwahi Trump. Kasitisha arv za msaada na wewe ni wa mwanzo kuañza kununua,
Weka akiba ya kutosha, kwa mwezi 76,000/-
AmenDalilo hizi huwa kinara
1. Rashes
2. Tezi na tonses
3. Mafua fua
4. Kohoma cha hapa na pale
Ikimalizika vitapoa ila sasa hapo vinakuwa viko jikon vyenyewe kwa vyenyewe kufanya mapenzi na kuzaliana zaiid.
NB. Pima upate majibu ya uhakika yamkin uko mzima kabisa wa afya, ila ukipima mara ya kwanza rudia tena baada ya miezi mitatu. Mungu akuepushe ndugu yangu
Asante na google yako
nina wiki ya piliKunywa sijui pep ndio wanaita ebu waulize wazinzi wenzio watakuambia kabla ya masaa 72 uache uwoga
Huyu virus vimeshakuwa sugu, wiki ya 4 sasa na vimeanza kutoka nje.Kunywa sijui pep ndio wanaita ebu waulize wazinzi wenzio watakuambia kabla ya masaa 72 uache uwoga
Amesema ni wiki ya pili sasa toka afanye uchakataji...Kunywa sijui pep ndio wanaita ebu waulize wazinzi wenzio watakuambia kabla ya masaa 72 uache uwoga
😂😂😂😂ndogo zina uhusiano na ukimwiKama unapenda sana ngono usiogope ukimwi!
duuhUmeipata ule wenyewe....
Kwa kipindi kilichbaki anza sala ya toba kila siku.Asante na google yako
Umemsoma and 100 others ? Maanà yake tàyàri.nina wiki ya pili
😎😎😎😌Amesema ni wiki ya pili sasa toka afanye uchakataji...
Huyu ni buriani tayari..
Tayari !.Wakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
aisee!
!
Pole Sana Kijana. Hapo Tayari Mzee. Sogea Kwenye VAR. Ila Kwa Maoni Yangu Tayari
halafu??Kwa kipindi kilichbaki anza sala ya toba kila siku.