Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Wasiwasi wako tu. HIV sio rahisi kupata kama watu wengi wanavyofikiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wanye nao itakuwa wanapiga sarakasi nini wakati wa tendo ndo wanaupata?Wasiwasi wako tu. HIV sio rahisi kupata kama watu wengi wanavyofikiri
aiseeIngekuwa unatumia Kijiti, ningesema uachane nacho hakikufai
Maana akili zako unazijua mwenyewe 🙌
unavo nitia moyo sasa😂😂Wasiwasi wako tu. HIV sio rahisi kupata kama watu wengi wanavyofikiri
hayaUmeenda na maji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila watu wanamajibu loooh.....Kunywa sijui pep ndio wanaita ebu waulize wazinzi wenzio watakuambia kabla ya masaa 72 uache uwoga
YaanHawa wanye nao itakuwa wanapiga sarakasi nini wakati wa tendo ndo wanaupata?
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila watu wanamajibu loooh.....
Mkuu ungekuwa na clip ya hawa jamaa ktk tukio hili jamaa angefarijika![]()
Halafu USAID wamezuia misaada.. Sasa sijui itakuwaje..
Ashaombwa tayari🤣Utaombwa picha...Jiandae kwa hilo..
unavo nitia moyo sasa😂😂
Afanye maamuzi kwa kutumia kichwa cha chini😂Mzeya changamka leo ndio siku yenyewe ya kuambukiza wengine fanya fasta bro usife peke yako kizembe
mingi tu nduguUna miaka mingapi?
yaanAfanye maamuzi kwa kutumia kichwa cha chini😂
mambo yakotiGO live it ,love it
😂😂😂Mkuu ungekuwa na clip ya hawa jamaa ktk tukio hili jamaa angefarijika
😂😂😂
Yaan mwanangu nomaUkiwa unaumwa, ukawa na hofu na ugonjq flani na uka google au ukaulizia dalili kama hivi,
Kila utakachosoma utaona ni mule mule..
Anyway Asante, uzi wako umenifanya nighairi nilikokua naenda.