Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ngono zembe!mingi tu ndugu
mmmhAcha ngono zembe!
Una hofu tu ila hizo sio dalili za ukimwi
Dalili za mwanzo za ukimwi zinaweza kujitokeza hata baada ya miaka 5 na kuendelea.
I bet una bacteria ikikupendeza consult a doctor au kanunue amoxclavunate (amoxclava) umeze
😂😂Video assistants VAR checking
Wala nikwamba ndio tulikuwa tunaambiwagwa hivyoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila watu wanamajibu loooh.....
uko sahihiiWala nikwamba ndio tulikuwa tunaambiwagwa hivyoo
Hakuna dalili za namna hiyo kwenye maambukizi mapya.Wakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
Homa nilipigwa siku ya tatu baada ya show ila ilikua ya siku mbiliHakuna dalili za namna hiyo kwenye maambukizi mapya.
Cha kwanza kabla ya mengine kufuatia huwa unashikwa homa kali sana wakati mwili wako ukijiandaa kupokea mgeni mpya na kuishi naye milele.
Je umewahi kukumbwa na homa kali sana kabla ya hiyo miwasho?
Hata hivyo umeshindwaje kuchukua kit ukajipima mwenyewe ili kujiweka sawa kisaikolojia, unaogopa nini?
AsantePole sana mkuu
Zwazwa
Jipime, mbona ni rahisi tu?Homa nilipigwa siku ya tatu baada ya show ila ilikua ya siku mbili
Relax Acha UJINGA, Ngoma haiko hivyo. Pumbavu wewe, Next time tumia ndomu. TunakutajiWakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
Kama watu wa Gazza huko?Amesema ni wiki ya pili sasa toka afanye uchakataji...
Huyu ni buriani tayari..
Ondoa hofu mkuu itakuwa chicken pox tu.mi rashez zimetokea mwilini na mkono mmoja zinawasha balaa
Rashes ni dalili ya mwisho baada ya zote kutokea wewe unaiweka ya kwanza.Wakuu nimeanza kupata rashes zinawasha sana!! Ni week ya 2 tangu nijichanganye kwene ngono zembe vip inaweza kua dalili ya HIV
Ushuhuda mzuri kutoka kwa wenye HIV au waliowai pata hili tatizo
ngojaniitafute tumfariji..Mkuu ungekuwa na clip ya hawa jamaa ktk tukio hili jamaa angefarijika
😂😂😂