Hii inaweza kuwa dalili kwamba nimepata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI?

Kunywa sijui pep ndio wanaita ebu waulize wazinzi wenzio watakuambia kabla ya masaa 72 uache uwoga
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃIla watu wanamajibu loooh.....
 
Ukiwa unaumwa, ukawa na hofu na ugonjwa flani na uka google au ukaulizia dalili kama hivi,
Kila utakachosoma utaona ni mule mule..

Anyway Asante, uzi wako umenifanya nighairi nilikokua naenda.
 
Ukiwa unaumwa, ukawa na hofu na ugonjq flani na uka google au ukaulizia dalili kama hivi,
Kila utakachosoma utaona ni mule mule..

Anyway Asante, uzi wako umenifanya nighairi nilikokua naenda.
Yaan mwanangu noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ