Hii inawezekana Tanzania tu, si mahali pengine popote duniani

Hii inawezekana Tanzania tu, si mahali pengine popote duniani

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
20210627_093430.jpg


Picha hii inaonyesha ukomavu, mshikamano na umoja na amani katika nchi inayoitwa Tanzania, nchi Mungu ametutengea waja wake.

Hakuna mahali Rais Mwanamke, Muislamu, amezungukwa na maaskofu, kama Malaika wa amani, na hata hakuna kabisa wale jamaa zetu wenye mitutu mkubwa, hawapo.

Picha hii inafikirisha sana.
 
"....
hata hakuna kabisa wale jamaa zetu wenye mitutu mkubwa, hawapo."

Ukiwa sehemu yenye vioo, au picha yenye vioo, ni vizuri kuwa unaviangalia kutambua nafasi ya wasioonekana.....
 
Sheik Ponda ndiye anastahili kuwa M/kiti wa amani awe anakaa na maaskofu sio mnafiki
 
View attachment 1831639

Picha hii inaonyesha ukomavu, mshikamano na umoja na amani katika nchi inayoitwa Tanzania, nchi Mungu ametutengea waja wake.

Hakuna mahali Rais Mwanamke, Muislamu, amezungukwa na maaskofu, kama Malaika wa amani, na hata hakuna kabisa wale jamaa zetu wenye mitutu mkubwa, hawapo.

Picha hii inafikirisha sana.
RC ni nusu dini nusu serikali hapo yupo na viongozi wenzake wa serikali,ndio maana kawapuuza walokole na madhehebu mengine,Vatican ni dubwasha kubwa linalotisha
 
Back
Top Bottom