Hii inawezekana Tanzania tu, si mahali pengine popote duniani

Hii inawezekana Tanzania tu, si mahali pengine popote duniani

View attachment 1831639

Picha hii inaonyesha ukomavu, mshikamano na umoja na amani katika nchi inayoitwa Tanzania, nchi Mungu ametutengea waja wake.

Hakuna mahali Rais Mwanamke, Muislamu, amezungukwa na maaskofu, kama Malaika wa amani, na hata hakuna kabisa wale jamaa zetu wenye mitutu mkubwa, hawapo.

Picha hii inafikirisha sana.
Kwani MUNGU MTU hakuwahi KUZUNGUKWA?
 
View attachment 1831639

Picha hii inaonyesha ukomavu, mshikamano na umoja na amani katika nchi inayoitwa Tanzania, nchi Mungu ametutengea waja wake.

Hakuna mahali Rais Mwanamke, Muislamu, amezungukwa na maaskofu, kama Malaika wa amani, na hata hakuna kabisa wale jamaa zetu wenye mitutu mkubwa, hawapo.

Picha hii inafikirisha sana.
Hii nchi kuelekea kupata uhuru tarehe tisa desemba 1961 ilikabidhiwa kwa mamlaka za Mungu. Iliombewa kwa ibada za kiislam na ikaombewa kwa ibada za kikristo. Kuna sala maalum ilifanyika pale Saint Joseph. Tulianza na Mungu na yalipokuja maasi ya jeshi 1964 yakazimwa kwa uwezo wa Mungu. 1980 mwanzoni watu fulani wakataka kumpindua JKN ikashindikana.

Tulipita kipindi kigumu baada ya JPM kuaga dunia. Kwa mataifa mengine kina Mali, Chad au Central Africa kipindi kama kile nchi ingeharibika kabisa lakini jeshi likawa pamoja na Rais Samia likamlinda na kumhakikishia utii.

Kwa mtu mwenye fikra nyepesi anaweza kuchukulia ni mambo yanayotokea tu kwa uwezo wetu wa kibinadamu lakini kwa mtu mwenye imani ya dhati ataweza kuelewa nafasi pana sana ya Mungu kwa Tanzania yetu hii kwa kuitazama tu hiyo picha.
 
Acheni kauli za utengano, hiyo roho mliyopandikiziwa ya chuki itawatoka lini? wapi mama kawapuuza walokole? Mkutano ulikuwa wa Roman ulitaka Rais alazimishe madhebebu mengine yawepo?
RC ni nusu dini nusu serikali hapo yupo na viongozi wenzake wa serikali,ndio maana kawapuuza walokole na madhehebu mengine,Vatican ni dubwasha kubwa
 
Acheni kauli za utengano, hiyo roho mliyopandikiziwa ya chuki itawatoka lini? wapi mama kawapuuza walokole? Mkutano ulikuwa wa Roman ulitaka Rais alazimishe madhebebu mengine yawepo?
Rc ina run dunia
 
This is definately the supremacy of Roman Catholic church in this world.
Mkuu unalitazama bandiko katika macho ya udini.
Na so kama ilivyokusudiwa.
Kwa mtazam huo unaweza kusema vile vile Rais muislamu, mwanamke amewatawala RC!
Shortsightedness!

Msingi wa bandiko ni tranquillity, peace , love and stability.

Inaelekea hiyo bond hapo huioni, na ndio maana nimesema picha inafikirisha sana.
 
Mkuu unalitazama bandiko katika macho ya udini.
Na so kama ilivyokusudiwa.
Kwa mtazame you unaweza kusema Rais muislamu, mwanamke amewatawala RC!
Shortsightedness!

Msingi wa bandiko ni tranquillity, peace , love and stability.

Inaelekea hiyo bond hapo jioni, na ndio maana nimesema picha inafikirisha sana.
Mkuu, mimi jicho langu la tatu linaangalia uongozi wa Kanisa Katoliki la Roma katika "influence" yake kijamii, kiuchumi, kijamii na hata kiutamaduni duniani.

Hivi unatambua majira ya sasa ya kalenda ya mwaka yalianzia wapi? Je! Hivi unatambua asili ya mfumo wa sasa sheria, taasisi na utawala katika kuongoza nchi nyingi duniani ulianzia wapi? Je!! Unatambua ushawishi wa sasa wa Vatikano katika nyanja zote muhimu za maisha duniani? Je! Unatambua uasisi wa siku ya Jumapili kuwa siku ya mapumbizo duniani katika nchi nyingi duniani?

Mkuu nafikiri ungepaswa kuniuliza ukuu ninaoungalia juu ya kanisa hili ninatumia vigezo gani hasa? Rais alikwenda mahususi ili kukutana na viongozi hao akitambua kwa kina ni kwa kiasi gani wanaweza kumsidia katika uongozi wake.

Wewe hushangai hata katika kuwasalimia alitumia salamu yao yenye kuliinua jina la Yesu kinyume na salamu aliyoizoea ya jina la JMT! Picha hiyo inatafakarisha kwa kuwa hata viongozi wote wenye imani ya Kikatoliki ikiwemo waliokuwa marais wa nchi hii Nyerere, Mkapa na Magufuli wakienda ibadani hupaswa kuinama ama hata kupiga magoti mbele ya maaskofu na kubusu pete zilizopo ktk vidole vyao. Hata Joe Biden leo akikutana na Papa kiimani huwajibika kufanya hivyo.
 
Sasa tujenge nchi yetu. Tuache hadithi hadithi na rushwa. Tujenge nchi yenye kufuata sheria na taratibu. Kwa Mali alizotupa Mwenyezi Mungu na nchi yetu yenye kila aina ya utajiri. Tupambane kuondoa umaskini na maisha mabaya kwa raia wote.
Ninamuombe Mama hekima ili aongoze nchi vizuri. Awe mwangalifu maana wapo wenye nia za kuyumbisha mambo na kuingiza agenda zao zenye kuenzi ubinafsi na kuneemesha familia zao tu.
Ili kuongoza nchi kama hii, asitegemee waganga wasafisha nyota. Hii nyota inasafishwa na Mwenyezi Mungu mwenyewe na ndio itamuongoza kufika anakotaka kufika
 
Mkuu, mimi jicho langu la tatu linaangalia uongozi wa Kanisa Katoliki la Roma katika "influence" yake kijamii, kiuchumi, kijamii na hata kiutamaduni duniani.

Hivi unatambua majira ya sasa ya kalenda ya mwaka yalianzia wapi? Je! Hivi unatambua asili ya mfumo wa sasa sheria, taasisi na utawala katika kuongoza nchi nyingi duniani ulianzia wapi? Je!! Unatambua ushawishi wa sasa wa Vatikano katika nyanja zote muhimu za maisha duniani? Je! Unatambua uasisi wa siku ya Jumapili kuwa siku ya mapumbizo duniani katika nchi nyingi duniani?

Mkuu nafikiri ungepaswa kuniuliza ukuu ninaoungalia juu ya kanisa hili ninatumia vigezo gani hasa? Rais alikwenda mahususi ili kukutana na viongozi hao akitambua kwa kina ni kwa kiasi gani wanaweza kumsidia katika uongozi wake.

Wewe hushangai hata katika kuwasalimia alitumia salamu yao yenye kuliinua jina la Yesu kinyume na salamu aliyoizoea ya jina la JMT! Picha hiyo inatafakarisha kwa kuwa hata viongozi wote wenye imani ya Kikatoliki ikiwemo waliokuwa marais wa nchi hii Nyerere, Mkapa na Magufuli wakienda ibadani hupaswa kuinama ama hata kupiga magoti mbele ya maaskofu na kubusu pete zilizopo ktk vidole vyao. Hata Joe Biden leo akikutana na Papa kiimani huwajibika kufanya hivyo.
Sikubaliani na mawazo yako maana kanisa Katoliki lilimbeba Mwendazake, na kila jumapili alikuwa wakifanya kufuru madhahabuni pale St Peter's.

Mimi Mkristo na naamini usipokuwa kamili kiroho, kabla hujatubu, madhahabuni mahali patakatifu, mwili kukanyaga.
Mtu mwenye mikono ya damu kukanyaga madhabahu ni kufuru.
 
Ningeambiwa niitie Maneno hiyo picha ningesema Samia and the Deepstate 😁
 
View attachment 1831639

Picha hii inaonyesha ukomavu, mshikamano na umoja na amani katika nchi inayoitwa Tanzania, nchi Mungu ametutengea waja wake.

Hakuna mahali Rais Mwanamke, Muislamu, amezungukwa na maaskofu, kama Malaika wa amani, na hata hakuna kabisa wale jamaa zetu wenye mitutu mkubwa, hawapo.

Picha hii inafikirisha sana.
Usiwasahau tundulissu na fatmakarume wameungaba na makamo wa kwanza kutetea uamsho waliochoma makanisa ni kumwagia tindikali mapadri wa hawa Maaskofu, pia wanadai kisiwa cha Mafia ni cha Sultani wanataja warejeshewe. Amani hii ipo tu kwa sababu ya mkono mkuu wa Marehemu kuwazuia wasituvuruge la sivyo sasa hivi tungekuwa tunachinjana. Mama S akiwachekea tutarudi hukohuko.
 
Back
Top Bottom