Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Wacha uchochezi mkuu! Mama atakutana na CCT muda si mrefu!RC ni nusu dini nusu serikali hapo yupo na viongozi wenzake wa serikali,ndio maana kawapuuza walokole na madhehebu mengine,Vatican ni dubwasha kubwa linalotisha