Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Akimaliza mitano tunamuongeza mitano tenaatake asitake 2025 mitano tena
Mikumi na 7 kabisaatake asitake 2025 mitano tena
Yule mwendazake alikuwa akinajisi nchi yetu nzuriNchi Bora kabisa AFRIKA....
Taifa Bora kabisa DUNIANI.....
Roman Catholic ni zaidi ya Kanisa!This is definately the supremacy of Roman Catholic church in this world.
Hatari sana waleRoman Catholic ni zaidi ya Kanisa!
Ahahahah hivi siyo yule aliyesema mapadre wamekufa kwa Corona tuchukie tahadhali? Mbishi huyo!!Huyo mwingine mbona hajavaa barakoa, au ndiye mganga wa covid
RC ni nusu dini nusu serikali hapo yupo na viongozi wenzake wa serikali,ndio maana kawapuuza walokole na madhehebu mengine,Vatican ni dubwasha kubwa linalotishaView attachment 1831639
Picha hii inaonyesha ukomavu, mshikamano na umoja na amani katika nchi inayoitwa Tanzania, nchi Mungu ametutengea waja wake.
Hakuna mahali Rais Mwanamke, Muislamu, amezungukwa na maaskofu, kama Malaika wa amani, na hata hakuna kabisa wale jamaa zetu wenye mitutu mkubwa, hawapo.
Picha hii inafikirisha sana.
Roman Catholic ni zaidi ya Kanisa!