Hii inawezekana Tanzania tu, si mahali pengine popote duniani

RC ni nusu dini nusu serikali hapo yupo na viongozi wenzake wa serikali,ndio maana kawapuuza walokole na madhehebu mengine,Vatican ni dubwasha kubwa linalotisha
Wacha uchochezi mkuu! Mama atakutana na CCT muda si mrefu!
 
Mstari wa msingi: Zaburi 127:1-2 “Bwana asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. Bwana asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…