Hii inayoitwa Tume ya ajira PSRC ni uhuni na kupoteza wakati na fedha

Hii inayoitwa Tume ya ajira PSRC ni uhuni na kupoteza wakati na fedha

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Habari
Hivi kuna kipi cha maana wanachofanya kama sio kupoteza wakati na fedha za walipa kadi.

Zamani watumishi walipangiwa vituo tena wakitokea vyuoni mojakwamoja.

Kinachowafanya wawashe AC, wavae tai wakae roundtable wakijifanya wanaakili nyingi ni kipi?

Alama anazopata mtunakiwa chuo vipi zidifae kuamua aende ama laa na akapate job recruitment hukohuko kazini??

Jamani wkt serikali inawachukua voda fanta wakafanyakazi na sasa wanapiga vzr kipi kimebadirika?? Tuacheni ushamba huu wa kujifanya tunajua sana kutengeneza njia za kula pesa.

Ushauri.
1. Iwaajiriwe kwa batch mafunzo watapata hukohuko. Hii itaondoa rundo la majobless na ukiritimba unaondelea.
2. Kama alivyosema Dr mmoja pale bungeni, kama mmekaa na mtoto miaka yote shulen mkampa karatasi sasa mpeni cheti na kazi.. mpeni training na probation 6 months.
3. Nchi hii iachane na mawazo ya kivivu ya watu kukaa ofsin eti wanafanyisha wenzao interview.

my take.
Nilikwenda kufanya interview cha ajabu maswali niliyojibu yalikuwa kama marking scheme ya wale watu. Tena wakaniomba nikasubiri watanihoji upya. Kesho yake nikaitwa kazini.
Wapeni watu kazi watapata recruitment hukohuko.

shule ndio ziimarishe mafunzo kwa vitendo.
 
Umegusa kunako..haya rais anadanganywa kumbe ninkitengo cha kuvuna mshahara na Rushwa zote ya mgono na pesa. Kujuana hakuishi hapa duniani
 
Na kipindi cha mwenda zake hakutoa ajira miaka 7 watu wamesahau walichosoma kitambo. Leo unampima kwa Exams atakumbuka kweli au uvalagizi wenu tuu Psrs.
 
Habari
Hivi kuna kipi cha maana wanachofanya kama sio kupoteza wakati na fedha za walipa kadi.

Zamani watumishi walipangiwa vituo tena wakitokea vyuoni mojakwamoja.

Kinachowafanya wawashe AC, wavae tai wakae roundtable wakijifanya wanaakili nyingi ni kipi?

Alama anazopata mtunakiwa chuo vipi zidifae kuamua aende ama laa na akapate job recruitment hukohuko kazini??

Jamani wkt serikali inawachukua voda fanta wakafanyakazi na sasa wanapiga vzr kipi kimebadirika?? Tuacheni ushamba huu wa kujifanya tunajua sana kutengeneza njia za kula pesa.

Ushauri.
1. Iwaajiriwe kwa batch mafunzo watapata hukohuko. Hii itaondoa rundo la majobless na ukiritimba unaondelea.
2. Kama alivyosema Dr mmoja pale bungeni, kama mmekaa na mtoto miaka yote shulen mkampa karatasi sasa mpeni cheti na kazi.. mpeni training na probation 6 months.
3. Nchi hii iachane na mawazo ya kivivu ya watu kukaa ofsin eti wanafanyisha wenzao interview.

my take.
Nilikwenda kufanya interview cha ajabu maswali niliyojibu yalikuwa kama marking scheme ya wale watu. Tena wakaniomba nikasubiri watanihoji upya. Kesho yake nikaitwa kazini.

Wapeni watu kazi watapata recruitment hukohuko.

shule ndio ziimarishe mafunzo kwa vitendo.
Binafsi niliwahi kufikiri hivyo, na niliwahi kuongea na WAZIRI mama mmoja aliitwa MWAFISI, sijiu alienda wapi.
Alisema wakitoa watu vyuoni kutakuwa na upendeleo, hili swala la kutangaza nafasi linazingatia mengi;- Uhitaji wa ofisi husika na kutoa nafasi kwa wote kushiriki katika kujaza nafasi zilizopo serikalini.

Alisema, kwa mfano tukiajiri wahasibu kutoka UDSM pekee hawa wa IFM,MZUMBE, na CHuo cha ushirika moshi wataenda wapi? Alisema jukumu la serikali ni kutoa fursa sawa, ili wahitimu wote washiriki soko la ajira kwa USAWA.

Alisema zamani, walikuwa wanaajiri kutoka vyuoni, lakini kuna baadhi ya watumishi walikuwa hawatokei, na wakitafutwa unakuta waliisha ajiriwa sehemu zingine.

Nafikiri interview siyo jambo baya, linasaidia kupunguza vilaza maofisini, na kuongeza ufanisi kwa kuajiri watu wenye uwezo katika nafasi zao, ikiwa RUSHWA haitahusika.

Tuboreshe maswali ya interview au namna ya kufanya short listing, interview na selection, na kuajiri pia.

Nakubali kwamba swala la mazoezi kwa vitendo lifanywe na vyuo kuwaandaa wanafunzi wao kabla na baada ya mafunzo, ili kuweza kukidhi soko la ajira lenye ushindani.
 
Habari
Hivi kuna kipi cha maana wanachofanya kama sio kupoteza wakati na fedha za walipa kadi.

Zamani watumishi walipangiwa vituo tena wakitokea vyuoni mojakwamoja.

Kinachowafanya wawashe AC, wavae tai wakae roundtable wakijifanya wanaakili nyingi ni kipi?

Alama anazopata mtunakiwa chuo vipi zidifae kuamua aende ama laa na akapate job recruitment hukohuko kazini??

Jamani wkt serikali inawachukua voda fanta wakafanyakazi na sasa wanapiga vzr kipi kimebadirika?? Tuacheni ushamba huu wa kujifanya tunajua sana kutengeneza njia za kula pesa.

Ushauri.
1. Iwaajiriwe kwa batch mafunzo watapata hukohuko. Hii itaondoa rundo la majobless na ukiritimba unaondelea.
2. Kama alivyosema Dr mmoja pale bungeni, kama mmekaa na mtoto miaka yote shulen mkampa karatasi sasa mpeni cheti na kazi.. mpeni training na probation 6 months.
3. Nchi hii iachane na mawazo ya kivivu ya watu kukaa ofsin eti wanafanyisha wenzao interview.

my take.
Nilikwenda kufanya interview cha ajabu maswali niliyojibu yalikuwa kama marking scheme ya wale watu. Tena wakaniomba nikasubiri watanihoji upya. Kesho yake nikaitwa kazini.

Wapeni watu kazi watapata recruitment hukohuko.

shule ndio ziimarishe mafunzo kwa vitendo.
Duh
 
Binafsi niliwahi kufikiri hivyo, na niliwahi kuongea na WAZIRI mama mmoja aliitwa MWAFISI, sijiu alienda wapi.
Alisema wakitoa watu vyuoni kutakuwa na upendeleo, hili swala la kutangaza nafasi linazingatia mengi;- Uhitaji wa ofisi husika na kutoa nafasi kwa wote kushiriki katika kujaza nafasi zilizopo serikalini.

Alisema, kwa mfano tukiajiri wahasibu kutoka UDSM pekee hawa wa IFM,MZUMBE, na CHuo cha ushirika moshi wataenda wapi? Alisema jukumu la serikali ni kutoa fursa sawa, ili wahitimu wote washiriki soko la ajira kwa USAWA.

Alisema zamani, walikuwa wanaajiri kutoka vyuoni, lakini kuna baadhi ya watumishi walikuwa hawatokei, na wakitafutwa unakuta waliisha ajiriwa sehemu zingine.

Nafikiri interview siyo jambo baya, linasaidia kupunguza vilaza maofisini, na kuongeza ufanisi kwa kuajiri watu wenye uwezo katika nafasi zao, ikiwa RUSHWA haitahusika.

Tuboreshe maswali ya interview au namna ya kufanya short listing, interview na selection, na kuajiri pia.

Nakubali kwamba swala la mazoezi kwa vitendo lifanywe na vyuo kuwaandaa wanafunzi wao kabla na baada ya mafunzo, ili kuweza kukidhi soko la ajira lenye ushindani.

Hao Wanaofanya usahili wakifanyiwa usahili wanatoboa?
 
Habari
Hivi kuna kipi cha maana wanachofanya kama sio kupoteza wakati na fedha za walipa kadi.

Zamani watumishi walipangiwa vituo tena wakitokea vyuoni mojakwamoja.

Kinachowafanya wawashe AC, wavae tai wakae roundtable wakijifanya wanaakili nyingi ni kipi?

Alama anazopata mtunakiwa chuo vipi zidifae kuamua aende ama laa na akapate job recruitment hukohuko kazini??

Jamani wkt serikali inawachukua voda fanta wakafanyakazi na sasa wanapiga vzr kipi kimebadirika?? Tuacheni ushamba huu wa kujifanya tunajua sana kutengeneza njia za kula pesa.

Ushauri.
1. Iwaajiriwe kwa batch mafunzo watapata hukohuko. Hii itaondoa rundo la majobless na ukiritimba unaondelea.
2. Kama alivyosema Dr mmoja pale bungeni, kama mmekaa na mtoto miaka yote shulen mkampa karatasi sasa mpeni cheti na kazi.. mpeni training na probation 6 months.
3. Nchi hii iachane na mawazo ya kivivu ya watu kukaa ofsin eti wanafanyisha wenzao interview.

my take.
Nilikwenda kufanya interview cha ajabu maswali niliyojibu yalikuwa kama marking scheme ya wale watu. Tena wakaniomba nikasubiri watanihoji upya. Kesho yake nikaitwa kazini.

Wapeni watu kazi watapata recruitment hukohuko.

shule ndio ziimarishe mafunzo kwa vitendo.
Nilienda interview moja, jamaa hawajui English, wanauliza maswali hata Grammar hazieleweki...unajizuia kucheka unajibu ila mwisho wa siku wanampitisha mtu wao
 
wakuu japo utumishi wana mapungufu yao,lakini naweza kusema ukweli,hakuna kupitisha mtu pale.

Ikiwa haukupita,sio kuwa wao walipitisha mtu wao,nina uhakika kwenye hili,nimewahi kuonana na mtu amesimamia interview kadhaa,tusibeze uwezo wa utumishi hasa kitengo cha interview.

Nilienda interview moja, jamaa hawajui English, wanauliza maswali hata Grammar hazieleweki...unajizuia kucheka unajibu ila mwisho wa siku wanampitisha mtu wao
 
Umesema kweli kabisa na ambavo hata hawatumii Common sense kwel mtu kamaliza Chuo miaka 6 iliyopita unamuuliza swali la darasani na mtu aliyetoka chuo mwezi uliopita is it fair?
Hii nchi wajinga ni wengi sana
Actualy unatakiwa uwe prepared katika interview yoyote, including ulichosomea, kwenye utafutaj lazima uwe tayari kwa lolote
 
wakuu japo utumishi wana mapungufu yao,lakini naweza kusema ukweli,hakuna kupitisha mtu pale.

Ikiwa haukupita,sio kuwa wao walipitisha mtu wao,nina uhakika kwenye hili,nimewahi kuonana na mtu amesimamia interview kadhaa,tusibeze uwezo wa utumishi hasa kitengo cha interview.
Siwezi kusema mengi.ukweli na ubaki kuwa ukweli (Mioyoni Mwao)
 
Binafsi niliwahi kufikiri hivyo, na niliwahi kuongea na WAZIRI mama mmoja aliitwa MWAFISI, sijiu alienda wapi.
Alisema wakitoa watu vyuoni kutakuwa na upendeleo, hili swala la kutangaza nafasi linazingatia mengi;- Uhitaji wa ofisi husika na kutoa nafasi kwa wote kushiriki katika kujaza nafasi zilizopo serikalini.

Alisema, kwa mfano tukiajiri wahasibu kutoka UDSM pekee hawa wa IFM,MZUMBE, na CHuo cha ushirika moshi wataenda wapi? Alisema jukumu la serikali ni kutoa fursa sawa, ili wahitimu wote washiriki soko la ajira kwa USAWA.

Alisema zamani, walikuwa wanaajiri kutoka vyuoni, lakini kuna baadhi ya watumishi walikuwa hawatokei, na wakitafutwa unakuta waliisha ajiriwa sehemu zingine.

Nafikiri interview siyo jambo baya, linasaidia kupunguza vilaza maofisini, na kuongeza ufanisi kwa kuajiri watu wenye uwezo katika nafasi zao, ikiwa RUSHWA haitahusika.

Tuboreshe maswali ya interview au namna ya kufanya short listing, interview na selection, na kuajiri pia.

Nakubali kwamba swala la mazoezi kwa vitendo lifanywe na vyuo kuwaandaa wanafunzi wao kabla na baada ya mafunzo, ili kuweza kukidhi soko la ajira lenye ushindani.
Nyooka
 
Hao Wanaofanya usahili wakifanyiwa usahili wanatoboa?
Unataka kusema "walimu wakifundishwa hawaelewi"? Interview inapima uwezo wa mtu kujieleza, huwa haipimi unajua hesabu kiasi gani. Interview ni Communication skill zaidi na siyo vinginevyo.

Unapo omba kazi huwa umeambatanisha vyeti, transcript (kwa hapa kwetu), na nyongeza ya CV yako. Tayari unapokuwa short listed wanafahamu wewe ni nani, una elimu gani, kama una uzoefu tayari wanakuwa wameshafanya verification ya ulichokiandika kwenye CV, wanamfahamu aliye mbele yao ni nani.

Kujibu maswali huwa nisehemu ya assesment wanataka kuona wanayemuajiri anazo skiils,knowledge, na ability ya hicho wanacho muhitaji akifanye au la? Na maswali yote huwa ni standard kulingana na nafasi husika, yameshachujwa na kupendekezwa, yanaweza kuulizwa kwa mpangilio au random, na yanaweza kuulizwa yote au baadhi itategemea na interview set up.

Swala la kudhani wewe mtafuta ajira unaakili saaana kuliko wanao kufanyia assessment ni upeo mdogo wa watoto wa siku hizi. Akiulizwa maswali akashindwa kujibu anaona anakomolewa au yeye kaulizwa magumu tofauti na wenzake.

Siyo lazima ujibu maswali yote, ukiona humeshindwa toa maelezo unavyodhani wewe ni sahihi, siyo lazima uwe sahihi asilimia mia moja. Kinachopimwa ni uwezo wa kujieleza. Sisiseme sijui, au usikae kimya, hivyo ndivyo ninavoielewa interview.

Kujibu swali la muuliza swali, hao wanao fanya interview, wakifanyiwa wao wanafaulu, kwasababu interview ni mazungumzo, siyo mitego. Wao siyo wajinga kuandaa maswali wasiyoweza kuyajiabu.
 
Unataka kusema "walimu wakifundishwa hawaelewi"? Interview inapima uwezo wa mtu kujieleza, huwa haipimi unajua hesabu kiasi gani. Interview ni Communication skill zaidi na siyo vinginevyo.

Unapo omba kazi huwa umeambatanisha vyeti, transcript (kwa hapa kwetu), na nyongeza ya CV yako. Tayari unapokuwa short listed wanafahamu wewe ni nani, una elimu gani, kama una uzoefu tayari wanakuwa wameshafanya verification ya ulichokiandika kwenye CV, wanamfahamu aliye mbele yao ni nani.

Kujibu maswali huwa nisehemu ya assesment wanataka kuona wanayemuajiri anazo skiils,knowledge, na ability ya hicho wanacho muhitaji akifanye au la? Na maswali yote huwa ni standard kulingana na nafasi husika, yameshachujwa na kupendekezwa, yanaweza kuulizwa kwa mpangilio au random, na yanaweza kuulizwa yote au baadhi itategemea na interview set up.

Swala la kudhani wewe mtafuta ajira unaakili saaana kuliko wanao kufanyia assessment ni upeo mdogo wa watoto wa siku hizi. Akiulizwa maswali akashindwa kujibu anaona anakomolewa au yeye kaulizwa magumu tofauti na wenzake.

Siyo lazima ujibu maswali yote, ukiona humeshindwa toa maelezo unavyodhani wewe ni sahihi, siyo lazima uwe sahihi asilimia mia moja. Kinachopimwa ni uwezo wa kujieleza. Sisiseme sijui, au usikae kimya, hivyo ndivyo ninavoielewa interview.

Kujibu swali la muuliza swali, hao wanao fanya interview, wakifanyiwa wao wanafaulu, kwasababu interview ni mazungumzo, siyo mitego. Wao siyo wajinga kuandaa maswali wasiyoweza kuyajiabu.

Interview NI sehemu ya mitego.

Hao waalimu au madaktari walimalizaje Taaluma zào walipokuwa Field?

Field yàani Mafunzo Kwa vitendo ndio kipimo.
Tafsiri yake kilichokuwa kinafanyika field ilikuwa NI upotevu wa muda.
 
Back
Top Bottom