Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Kama wanataka ligi wapande wao kama wao madereva kusiwe na abiria kmmq zaoTatizo lao kubwa ni kupenda sana ligi na mabasi ya kampuni nyingine.
LIGI ZA KISHAMBATatizo lao kubwa ni kupenda sana ligi na mabasi ya kampuni nyingine.
Hawa ni large ni tax payers aiseee unaanzaje kuwafutaaaifutwe siyo ichunguzwe.
New force nilipanda siku moja , nikasema spandi tenaKampuni ya usafirishaji Mabasi, New force imehusika kwenye ajari nyingi sana. Ifike kipindi mamlaka husika itueleze tatizo lipo wapi vinginevyo roho za watu zitazidi kuteketekea tu kila kukicha.
View attachment 2946829View attachment 2946830
ikifutwa wiki ijayo inabadilika inakuja kua kampuni ya NEW FACEifutwe siyo ichunguzwe.
Umesikia wapi Mchina akawa na sudi njema kwa Mwafrika?Kampuni ya usafirishaji Mabasi, New force imehusika kwenye ajari nyingi sana. Ifike kipindi mamlaka husika itueleze tatizo lipo wapi vinginevyo roho za watu zitazidi kuteketekea tu kila kukicha.
View attachment 2946829View attachment 2946830
Kwa hiyo miundombinu mibovu ndiyo iwe sababu kukimbiza gari mbona shabiby anapita kwenye hiyo miundombinu mibovu hapat ajali kama hao washenziKwanza kabisa angalieni miundombinu yenu ilivyo ya hovyo,msitafute kichaka Cha kujifichia