Hii kanuni ya adhabu, ndio imeiweka Bodi ya ligi njia panda

Hii kanuni ya adhabu, ndio imeiweka Bodi ya ligi njia panda

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Screenshot_20250308-150845_1.jpg

Hapa Simba angekwanguliwa points 15.

Sasa given Simba na Yanga ndio biashara ya Football Nchi hii, ukiachia Vigogo Wazito Wana maslahi Yao katika timu hizi, unadhani kweli Bodi na TFF zitadhubutu hili litokee?
 
Back
Top Bottom