Hii kasheshe kubwa

U seem to be good kwenye upishi hajar,wa ubavu wako atakuwa anafaidi mapishi yako..

Mwanamke atafute atamtu amlipe amfundishe
 
Hahaaa. Lol.

Ila rafiki si kila mwanamke anajua kupika ujue
Ndio wakajifunze kabla ya kukimbilia wanaume,, wanaume tunahitaji misosi mizuri...sio shombo
 
Ni kweli si kila mwanamke anajua kupika,ila kuna raha yake kama mume unarudi nyumbani unakuta umepikiwa makwasukwasu kama hayo,ntachoka tu
Tuko pamoja sana kamanda wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi mwenyewe toka niko nyumbani nimejifunza kupika naweza kupika,nadhani mwanamke huyo maybe ni wale ambao toka wadogo wao kupikiwa,kufuliwa na mfanyakazi tu.

Kweli still hapo anaweza akajifunza akawa vizuri.
Mwanamke mapishi bhana asikudanganye mtu.
 
Wiki mbili zilizopita chai ya maziwa kaiunga na ndimu.
 
Tafta house girl au mfundishe mwanamke ni kama mtoto utakavyomfunza ndivyo mtakavyoishi ila kufukuza mwanamke kwasababu ya chakula utakuwa umekosea sana.
 
Samaki mkunje bado mbichi mkuu
Mwanamke ni kama mtoto hata akiwa na miaka 50 unamkunja anafata maelekezo mwanamke ni kama gari unaendesha unakotaka wewe dereva sasa kazi kwako unaingiza korongoni au vyovyote
 
Tafta house girl au mfundishe mwanamke ni kama mtoto utakavyomfunza ndivyo mtakavyoishi ila kufukuza mwanamke kwasababu ya chakula utakuwa umekosea sana.
impongo: ngumu mkuu
 
Bora asijue kupikaa jikoni... Sasa mchepuko alafu Gogooo kitandani si Kupoteza muda hukoo bora ukomae na wife wako...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…