Hii kasheshe kubwa

impongo: ngumu mkuu
Kama umemwacha umefanya makosa maana kitu cha mhimu kwa mwanamke ni kujiheshimu mengine anafsta maelekezo.

Binafsi hata kama hajui kupika nitamfundisha hata kufua nitamfundisha chochote ninachotaka nitamwelekeza kikubwa ajiheshimu na aniheshimu
 
VETA ipo kwa ajili ya jamii kama iyo
 
U seem to be good kwenye upishi hajar,wa ubavu wako atakuwa anafaidi mapishi yako..

Mwanamke atafute atamtu amlipe amfundishe
Hahahaaaa. Sio kwa kuota uko. Lol. [emoji85] [emoji85]. Anafaidi kabisaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…