Mvumilie kama anakusikiliza usimwache mfundishe ataelewa tuUnaulizia embe kibada tena
Ahsante Jolie Jolie:Pole sana
Mwambie amfundishe huenda ndio maisha aliyo yazoea sasa mnataka apike asivyovijua na huenda ni Mwanamke wa Mkoani ndio ameanza kusajiriwa jijini sio kosa lake.Pole sana
MfundisheMwanamke nzima ajui kupika noma kweli!
Hapa umekosea mwanaume ukiacha acha HUWA NACHUKIA MTU KURUDIA MATAPISHI YAKE maana kosa ulilomuacha nalo mwanzo ameliacha?Tayari mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama umemwacha umefanya makosa maana kitu cha mhimu kwa mwanamke ni kujiheshimu mengine anafsta maelekezo.impongo: ngumu mkuu
Sina muda huoMfundishe
Wagombanao ndio wapatanao mkuuHapa umekosea mwanaume ukiacha acha HUWA NACHUKIA MTU KURUDIA MATAPISHI YAKE maana kosa ulilomuacha nalo mwanzo ameliacha?
VETA ipo kwa ajili ya jamii kama iyoSijawai kuona mihogo au kisamvu kikiungwa na nyanya... Tangu nizaliwe hivi sasa najonea viroja kwa huyu demu wangu mpya juzi kanilisha majani ya kunde chukuchuku yalioungwa na kitunguu na chmvi tu, jana kapika mihogo kaiunga na nyanya bila nazi akaipondaponda Sijawai kwa kweli kula hivyo nafanya mpango nimrudie mke wangu mpendwa niliozowea mapishi yake matamu
Yaani una dhambi unaacha mke kwa sababu hajui kupika imeniuma sanaAhsante Jolie Jolie:
Imeniuma sana kutokujua kupika una muacha?Sina muda huo
Mkuu wewe kabila gani?Sina muda huo
Huyo mwanamke umemtoa sehemu gani na mkoa upi?Sina muda huo
Umekosea sana kumfukuzaWagombanao ndio wapatanao mkuu
Imeniuma ati amemwacha kwasababu hajui kupika ungempeleka veta miezi 3 inatoshaVETA ipo kwa ajili ya jamii kama iyo
Hahahaaaa. Sio kwa kuota uko. Lol. [emoji85] [emoji85]. Anafaidi kabisaaaaa.U seem to be good kwenye upishi hajar,wa ubavu wako atakuwa anafaidi mapishi yako..
Mwanamke atafute atamtu amlipe amfundishe
Mmh. Haya MkuuNdio wakajifunze kabla ya kukimbilia wanaume,, wanaume tunahitaji misosi mizuri...sio shombo
Kuota tena hajar??[emoji4] [emoji4]Hahahaaaa. Sio kwa kuota uko. Lol. [emoji85] [emoji85]. Anafaidi kabisaaaaa.
Ulikuwa mchepuko sio mkeYaani una dhambi unaacha mke kwa sababu hajui kupika imeniuma sana
Zinazoota kidevuniNdevu zipi?