Hii kasi ya ujenzi wa bararara ya njia nne Mwanza- Usagara ni sawa?

Nafikiri hawa mawaziri wanafanya kinyume, sio kudanganywa bali wana hadaa wananchi. Haiwezekani kuwa hawana taarifa ya kinachoendelea huku chini. Wao na ndugu na jamaa zak wanaishi wapi?
 
Nilidhani kwa Mwanza SGR ujenzi bado umepamba moto,unaenda kwa awamu.

Nilipita maeneo ya Isaka-Shy ni kama mradi umeshatelekezwa tuta linamomonyoka tu.
 
Nilidhani kwa Mwanza SGR ujenzi bado umepamba moto,unaenda kwa awamu.

Nilipita maeneo ya Isaka-Shy ni kama mradi umeshatelekezwa tuta linamomonyoka tu.
wahusika wamegoma kutoa maelezo ya nini kinachoendelea na kupelekea kukwama kwa miradi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…