Hii kauli ya "Kifo ni Kifo tu" kutoka kwa Rais Samia imekaaje?

Hii kauli ya "Kifo ni Kifo tu" kutoka kwa Rais Samia imekaaje?

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!

Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!

Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!

Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!

Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!

Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!


Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
 
Naona kama vile hajaelewa kinacholalamikiwa.

Mzee Kibao angekufa akiwa amelala nyumbani kwake, kusingekuwepo hayo yanayosemwa.

Lakini mtu anaponyakuliwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni polisi halafu baadaye mwili wake unapatikana ukiwa na majeraha, unataka watu wasemeje sasa?

Bure kabisa!
 
Huyo rais yupo misinformed sana nachelea kusema uelewa sababu ya nafasi yake. Hisia za watu siyo sababu ya kifo cha Ally Kibao, kwenye kifo cha Ally Kibao ile ni breaking point kwamba watu wamesema sasa basi.
Hii inaonyesha watu wake wanamficha taarifa za matukio mengi yanayotokea.
Kingine, kosa kubwa sana amelifanya kwenda kutoa kauli zake za 'kishujaa' kwenye event ya washukiwa wakuu wa mauaji hayo. Hii ni kuwapa kichwa Polisi kuendelea kufanya wafanyayo. Hilo kosa linaenda kuchafua nchi big time
 
Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!

Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!

Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!

Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!

Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!

Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!


Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Tuna safari ndefu, ngumu na yenye makorongo ya kutisha.
 
Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!

Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!

Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!

Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!

Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!

Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!


Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Anaturudisha kabla ya 2021 March.
 
Screenshot_20240917_181758_Instagram.jpg
 
Naona kama vile hajaelewa kinacholalamikiwa.

Mzee Kibao angekufa akiwa amelala nyumbani kwake, kusingekuwepo hayo yanayosemwa.

Lakini mtu anaponyakuliwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni polisi halafu baadaye mwili wake unapatikana ukiwa na majeraha, unataka watu wasemeje sasa?

Bure kabisa!
Kaelewa ila kaamua kujitoa ufahamu tu.

Baada ya yote dhamira ya Marehemu Kibao kuondolewa duniani imetimia, hivyo kwake/kwao ni kifo kingine tu katika kutimiza dhamira zao.
 
Imekaa vizuri maana awali alisema maisha ya mtu yana thamani kuliko kitu chochote.

Kifo ni kifo tu kwa maana kila mmoja ananjia yake ya kuondoka lakini hakuna anaetaka mtu asitishiwe uhai wake ila ikitokea kimetokea hakuna kinachoweza kufanywa zaidi ya uchunguzi na wahusika wachukuliwe hatua
 
Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!

Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!

Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!

Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!

Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!

Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!


Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Kwa sasa tanzania kuana/mtu kufa ni jambo la kawaida


Yajayo yatafurahisha

Ova
 
Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu, ukiendekeza ubaya utalipwa ubaya, ukishupaza utaondoka kama mwenzio , ukitaka kutumia ushauri wetu sawa usipotaka sawa sisi tutaendelea na maisha yetu tunayo mengi ya kufanya hata pasipo wewe.

Mungu ni fundi tena ni fundi wa haraka . Busara na hekima iliyopinda vyote ni hulipwa na Mungu.

JMHK kichwa cha busara kwenye halaiki ya maziko miaka kadhaa nchi za watu
 
Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!

Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!

Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!

Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!

Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!

Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!


Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Yaani huyu mama sijui hata nimuitaje. Kuna vifo ambavyo victim anakuwa ameugua muda mrefu takribani miaka minne hivi, mgonjwa kama huyu utamlinganisha na kifo cha Ally Mohamed Kibao? Sativa angekufa, tumshukuru Mungu alifanya maajabu yake kifo chake kingekuwa ni cha kawaida tu? Jamani ulevi wa madaraka ni kitu kibaya sana. Mwanamke mchawi ni mbaya sana maandiko yanasema hatakiwi kuishi kabisa. Asante sana Mungu wetu tumewajua.
 
Huyo rais yupo misinformed sana nachelea kusema uelewa sababu ya nafasi yake. Hisia za watu siyo sababu ya kifo cha Ally Kibao, kwenye kifo cha Ally Kibao ile ni breaking point kwamba watu wamesema sasa basi.
Hii inaonyesha watu wake wanamficha taarifa za matukio mengi yanayotokea.
Kingine, kosa kubwa sana amelifanya kwenda kutoa kauli zake za 'kishujaa' kwenye event ya washukiwa wakuu wa mauaji hayo. Hii ni kuwapa kichwa Polisi kuendelea kufanya wafanyayo. Hilo kosa linaenda kuchafua nchi big time
Ni pongezi kwa kazi nzuri.
Hakuna asichokijua kuhusiana na hali na mwendo wa kisiasa nchini,amegusia tukio la mwanza la kuzuiwa gari la polisi waliohisiwa watekaji,pia taarifa za kwenye mitandao ya kijamii mf.ya Dr.Slaa,mzuri.Butiku n.k[huo ni uthibitisho],hakugusia genge la polisi kutuhumiwa,wala kujali waliotajwa kwa majina yao kuhusika keen matukio ya utekaji na mauaji,ila amedhihirisha kutoguswa [kabisa]kwa kupotezwa na kuuawa kwa wanasiasa [wa upinzani]na yeyote anayekosoa mwenendo wa utawala wake .
 
Back
Top Bottom