Hii kauli ya "Kifo ni Kifo tu" kutoka kwa Rais Samia imekaaje?

Hii kauli ya "Kifo ni Kifo tu" kutoka kwa Rais Samia imekaaje?

Yaani huyu mama sijui hata nimuitaje. Kuna vifo ambavyo victim anakuwa ameugua muda mrefu takribani miaka minne hivi, mgonjwa kama huyu utamlinganisha na kifo cha Ally Mohamed Kibao? Sativa angekufa, tumshukuru Mungu alifanya maajabu yake kifo chake kingekuwa ni cha kawaida tu? Jamani ulevi wa madaraka ni kitu kibaya sana. Mwanamke mchawi ni mbaya sana maandiko yanasema hatakiwi kuishi kabisa. Asante sana Mungu wetu tumewajua.
Kupona kwa SATIVA ilikuwa ni ishara mbaya kwao,ile kulipia matibabu yake,ilibeba ujumbe wa onyo kwa yeyote [koma na uijue mipaka yako].
Tamko la chadema[la maandamano]limewaibua kwa nguvu kulinda nakutetea madaraka yao kwa kisingizio cha kulinda amani ya nchi.
 
Huyo rais yupo misinformed sana nachelea kusema uelewa sababu ya nafasi yake. Hisia za watu siyo sababu ya kifo cha Ally Kibao, kwenye kifo cha Ally Kibao ile ni breaking point kwamba watu wamesema sasa basi.
Hii inaonyesha watu wake wanamficha taarifa za matukio mengi yanayotokea.
Kingine, kosa kubwa sana amelifanya kwenda kutoa kauli zake za 'kishujaa' kwenye event ya washukiwa wakuu wa mauaji hayo. Hii ni kuwapa kichwa Polisi kuendelea kufanya wafanyayo. Hilo kosa linaenda kuchafua nchi big time
Anafichwa hasikiii na kuona..? Kupitia media nk wapinzan wamesema hajasikia na kuona haya..? Kuna mambo hayataki utani
 
Ni pongezi kwa kazi nzuri.
Hakuna asichokijua kuhusiana na hali na mwendo wa kisiasa nchini,amegusia tukio la mwanza la kuzuiwa gari la polisi waliohisiwa watekaji,pia taarifa za kwenye mitandao ya kijamii mf.ya Dr.Slaa,mzuri.Butiku n.k[huo ni uthibitisho],hakugusia genge la polisi kutuhumiwa,wala kujali waliotajwa kwa majina yao kuhusika keen matukio ya utekaji na mauaji,ila amedhihirisha kutoguswa [kabisa]kwa kupotezwa na kuuawa kwa wanasiasa [wa upinzani]na yeyote anayekosoa mwenendo wa utawala wake .
amebariki yanayoendelea..?
 
Yaani huyu mama sijui hata nimuitaje. Kuna vifo ambavyo victim anakuwa ameugua muda mrefu takribani miaka minne hivi, mgonjwa kama huyu utamlinganisha na kifo cha Ally Mohamed Kibao? Sativa angekufa, tumshukuru Mungu alifanya maajabu yake kifo chake kingekuwa ni cha kawaida tu? Jamani ulevi wa madaraka ni kitu kibaya sana. Mwanamke mchawi ni mbaya sana maandiko yanasema hatakiwi kuishi kabisa. Asante sana Mungu wetu tumewajua.
Hakika
 
amebariki yanayoendelea..?
Ndivyo tunavyoweza kutafsiri kauli/hotuba yake leo, kwasababu ikiwa aliweza kuona/kupata taarifa za kwenye mitandao watu wakilaani haya matukio,ni wazi kuwa hata tuhuma za polisi kuhusika, pamoja na baadhi yao kutajwa kwa majina yao,aliyaona pia,ila hizo habari hazikuwa na uzito kwao ukulinganisha na mipango ya chadema.INASIKITISHA SANA.... JPMAGUFULI aliwahi kusema [kwenye uzinduzi wa stendi MAGUFULI]
''WAKATI MWINGINE TUJILAUMU KWA KUKOSEA KUCHAGUA''.
 
Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!

Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!

Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!

Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!

Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!

Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!


Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Inamaanisha mtoa kauli ni kiazi
 
Ndivyo tunavyoweza kutafsiri kauli/hotuba yake leo, kwasababu ikiwa aliweza kuona/kupata taarifa za kwenye mitandao watu wakilaani haya matukio,ni wazi kuwa hata tuhuma za polisi kuhusika, pamoja na baadhi yao kutajwa kwa majina yao,aliyaona pia,ila hizo habari hazikuwa na uzito kwao ukulinganisha na mipango ya chadema.INASIKITISHA SANA.... JPMAGUFULI aliwahi kusema [kwenye uzinduzi wa stendi MAGUFULI]
''WAKATI MWINGINE TUJILAUMU KWA KUKOSEA KUCHAGUA''.
Wale wale. Basi yeye ndio bwana heri hivo mbuzi wa bwana heri wamekula mazao ya watu.
 
Wazee wetu tuliowapinga mlipotaka kuvunja KATIBA tunaomba mtusamehe sana.
mafundisho ya mtume kuhusu mwanamke kuwa kiongozi yalikuwa kweli.
 
Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!

Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!

Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!

Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!

Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!

Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!


Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
🔨🔨👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DAB2PINhdMY/?igsh=eXM2bmp1ejFsbWxt
 
Katoa boko kwa mara nyingine tena. Mtakumbuka boko lake la kwanza kuwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Poor mis- guided tongue
 
Back
Top Bottom