Na bado, mpaka wote mtubu!Wazee wetu tuliowapinga mlipotaka kuvunja KATIBA tunaomba mtusamehe sana.
mafundisho ya mtume kuhusu mwanamke kuwa kiongozi yalikuwa kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado, mpaka wote mtubu!Wazee wetu tuliowapinga mlipotaka kuvunja KATIBA tunaomba mtusamehe sana.
mafundisho ya mtume kuhusu mwanamke kuwa kiongozi yalikuwa kweli.
Ipo hatari kubwa sana hapa nchini kwa sasa.Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!
Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!
Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!
Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!
Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!
Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!
Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Hamna rais mle.Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!
Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!
Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!
Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!
Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!
Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!
Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Misinformed ?????Huyo rais yupo misinformed sana nachelea kusema uelewa sababu ya nafasi yake. Hisia za watu siyo sababu ya kifo cha Ally Kibao, kwenye kifo cha Ally Kibao ile ni breaking point kwamba watu wamesema sasa basi.
Hii inaonyesha watu wake wanamficha taarifa za matukio mengi yanayotokea.
Kingine, kosa kubwa sana amelifanya kwenda kutoa kauli zake za 'kishujaa' kwenye event ya washukiwa wakuu wa mauaji hayo. Hii ni kuwapa kichwa Polisi kuendelea kufanya wafanyayo. Hilo kosa linaenda kuchafua nchi big time
Hamna rais mle.Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!
Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!
Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!
Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!
Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!
Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!
Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Issue si kufa, bali unakufaje?Kwa Mimi nilivyo elewa hata akif@ yeye ni $aw©
Kauli ya "kifo ni kifo tu" mbona ipo very clear? Au kuna kifo ambacho siyo kifo?Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death!
Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu!
Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani kutokuzingatia sheria na kuwaachia madereva wazembe na magari mabovu navyo ni vifo tu!
Kimsingi vifo vingi Tanzania ni kutokana na mifumo mibovu iliyowekwa na serikali yenyewe, kwamba hivi vifo ni vifo tu!
Kwamba Lissu aliyepigwa risasi mchana kweupe mwaka 2017 kule Dodoma angekufa pia nacho kingekua kifo tu!
Ali Kibao alishushwa kutoka kwenye basi mchana kweupe na watu wenye silaha waliotambulisha kama polisi. Mwisho wa siku akapatikana akiwa maiti. Nacho tuite ni kifo tu?!
Pia soma:Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Noma sanaAfrica
pale hamna kiongozi mkuu nashangaa tu wanavyomtaja mara elfu tatu kwa siku kuliko hata wanavyomtaja Mungu , ila mwisho wake utakuwa mbaya sana mark my post.Naona kama vile hajaelewa kinacholalamikiwa.
Mzee Kibao angekufa akiwa amelala nyumbani kwake, kusingekuwepo hayo yanayosemwa.
Lakini mtu anaponyakuliwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni polisi halafu baadaye mwili wake unapatikana ukiwa na majeraha, unataka watu wasemeje sasa?
Bure kabisa!
No, you are wrong.Kauli ya "kifo ni kifo tu" mbona ipo very clear? Au kuna kifo ambacho siyo kifo?