Hii kauli ya mke wangu ina maana gani?

Hii kauli ya mke wangu ina maana gani?

Hello watanzania wenzangu!

Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.

Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick.

So last weekend wife alitoa kauli flani ambayo ingawa nilikua nimelewa ila ilinifikirisha sana,wife alisema kwamba hataki mtu mlevi ndani kwake. Na ikumbukwe hapo ndani mnywaji ni mimi tu.

Nikaona kabla ya kumzaba makofi niwaulize wadau, huyu mke wangu alikua na maana gani hivi?
Acha ulevi mkuu
 
Yeye hajasema ni mlevi ila anakunywa.mwanamke anatakiwa awe na busara jinsi ya kumshauli kuhusu.ataanza pombe ataanza lingine.akihoji kama mwanaume kauli bac kosa .mwanamke anaenda kugongwa kweli wanawake wana nguvu sana
Walevi wanateteana
 
Msimamo wa kung'ang'ania kuwa mlevi huo siyo msimamo ni upumbavu,misimamo yenye tija ndani ya nyumba ni kama “nimesema huyu mtoto atasoma shule fulani,nimesema nyumba hii ni gharama sana lazima tujibane na sisi tujenge yetu,gari kwa sasa bado wakati wake kununua etc”.

Wakati wote ukishakuwa mume unatakiwa uwe na hoja kumzidi mkeo utashangaza umati mkeo kukukalisha vikao kwa ndugu akilalamikia tabia zako za ulevi na wewe kuonyesha kuridhika nazo ila ikiwa ni vikao kuhusu misimamo yako ya kimaendeleo hakuna atakayemsikiliza.
Huyu siyo mlevi elewa hoja zake na kauli za mke wake
 
Kwani kuacha ulevi bei gani?

JamiiForums mobile app
Mkuu pombe ikikaa damuni ni disaster usichukulie poa, kuna dingi mmoja alikuwa akilewa anatoka nje na chemli, usiku wa manane, na yuko uchi wa mnyama, atatukana majirani wote alafu anarudi kulala, kesho ukikutana naye kama sio yeye na ni mstaarabu sana, ukiambiwa utasema wanamsingizia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana yake siku nyingine ukilewa ulale nyumba ndogo🐒
 
Huyu siyo mlevi elewa hoja zake na kauli za mke wake
Wewe unaishi naye?hata kama anakunywa zipo dalili anakunywa kiasi anakuwa kero kwa mwenza wake ndani.

Ukweli ukishafikia hatua mkeo anakutahadharisha juu ya unywaji wako jua kuna kipengele umekivuka kama mnywaji.
 
Mwambie kuwa wewe sio mlevi bali ni mnywaji.

Kuhusu maana ya aliyokuambia ni kuwa soon atakufukuza na ataleta mwanaume mwingine ambae sio mlevi.
 
Hello watanzania wenzangu!

Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.

Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick.

So last weekend wife alitoa kauli flani ambayo ingawa nilikua nimelewa ila ilinifikirisha sana,wife alisema kwamba hataki mtu mlevi ndani kwake. Na ikumbukwe hapo ndani mnywaji ni mimi tu.

Nikaona kabla ya kumzaba makofi niwaulize wadau, huyu mke wangu alikua na maana gani hivi?
Ww ni mlevi na mlevi na km Mbwa tu
 
Wewe unaishi naye?hata kama anakunywa zipo dalili anakunywa kiasi anakuwa kero kwa mwenza wake ndani.

Ukweli ukishafikia hatua mkeo anakutahadharisha juu ya unywaji wako jua kuna kipengele umekivuka kama mnywaji.
Sawa ambaye upo kwa uyo mnywaji kwa jinsi tbl wanavyo zalisha bia bac ndo nyingi zipo matatani wengi watafukuzwa
 
Keshasema hataki mtu mlevi NDANI KWAKE!
 
Hataki mlevi ndani kwake hapo ni kuchagua moja uache ulevi au uondoke ndani kwake
 
Muulize
Mke wangu kwani nikilewa nakuwaje?au issue ni kwenda Bar?

Js discuss..aseme ana shida gani na starehe yako...
 
Msimamo wa kung'ang'ania kuwa mlevi huo siyo msimamo ni upumbavu,misimamo yenye tija ndani ya nyumba ni kama “nimesema huyu mtoto atasoma shule fulani,nimesema nyumba hii ni gharama sana lazima tujibane na sisi tujenge yetu,gari kwa sasa bado wakati wake kununua etc”.

Wakati wote ukishakuwa mume unatakiwa uwe na hoja kumzidi mkeo utashangaza umati mkeo kukukalisha vikao kwa ndugu akilalamikia tabia zako za ulevi na wewe kuonyesha kuridhika nazo ila ikiwa ni vikao kuhusu misimamo yako ya kimaendeleo hakuna atakayemsikiliza.
Huyo jamaa hajielewi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asikupangie maisha kama unatimiza majukumu yako ya kifamilia shida iko wapi
 
Chupa mi nimeshindwa kubwaga ,apa Niko safarini nazipiga as long as familia inaenda na mambo mengine yanaenda.
Kuna watu wanalipa Kodi mazee ,Mungu atusaidie Sana Kwa hili Mana kama pepo[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom