Hii kauli ya mke wangu ina maana gani?

Hii kauli ya mke wangu ina maana gani?

Kwani alikutoa wapi kabla ya kukuleta hapo kwake?
 
Angekua na uwezo wa kukuzaba vibao tayari angekuzaba, basi vumilia maana hizo ndio Changamoto za kuishi na mtu mzima mwenzio.
 
Mkiminywa kengele mnaona kama mmeonewa kumbe mnadeserve kabisaa!
 
Hello watanzania wenzangu!

Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.

Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick.

So last weekend wife alitoa kauli flani ambayo ingawa nilikua nimelewa ila ilinifikirisha sana,wife alisema kwamba hataki mtu mlevi ndani kwake. Na ikumbukwe hapo ndani mnywaji ni mimi tu.

Nikaona kabla ya kumzaba makofi niwaulize wadau, huyu mke wangu alikua na maana gani hivi?
Nahisi utakuwa bado umelewa. Ulevi ukiisha utaelewa alikuwa na maana gani?
 
Sasa usichoelewa hapo nini? Au huyo mke ulipewa bure[emoji16]
 
Ni kweli ni haki yake kupenda ulevi lakini wakati anakubali kuolewa na wewe hakujua kama wewe u mlevi,hayo ni makosa yake awajibike
 
Hello watanzania wenzangu!

Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.

Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick.

So last weekend wife alitoa kauli flani ambayo ingawa nilikua nimelewa ila ilinifikirisha sana,wife alisema kwamba hataki mtu mlevi ndani kwake. Na ikumbukwe hapo ndani mnywaji ni mimi tu.

Nikaona kabla ya kumzaba makofi niwaulize wadau, huyu mke wangu alikua na maana gani hivi?
Nenda kaiangalie hati ya nyumba mnapoiwekaga kama ipo, then uje unishukuru.
 
Ukitaka uendelee na ulevi na akupende fanya hivi

Ukinywa uwe mkimya usifanye vituko visivyo na akili

Ukinywa mmwagie pesa , mpe pesa mpe zawadi .

Ukiwa hujalewa uwe bahili pindukia yaani Yule bahili WA mabahili


Atakununulia au kukusindikiza ukanywe yeye mwenyewe

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji176]
 
Kulewa wengi tunalewa stimu tunarudi nazo nyumbani kiaina , na kufikia kulala
 
Acha kujitoa ufahamu!!! Acha ulevi udumishe ndoa yako.

Hello watanzania wenzangu!

Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.

Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick.

So last weekend wife alitoa kauli flani ambayo ingawa nilikua nimelewa ila ilinifikirisha sana,wife alisema kwamba hataki mtu mlevi ndani kwake. Na ikumbukwe hapo ndani mnywaji ni mimi tu.

Nikaona kabla ya kumzaba makofi niwaulize wadau, huyu mke wangu alikua na maana gani hivi?
 
Walevi huwa mnaect hamuelewi kitu mkilewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Lakini likizungumza jambo lakukukera ndio mnataka kuwapiga wake zenu.

Pombe ni starehe kwa mlevi,, hivyo kwaasiyekunywa pombe kwake nikero tena kero kubwa sana interm ya harufu lakini pia usumbufu mnaowapatia watu mkishalewa.

Mke wako yuko sahihi,. Maana unachokitumia ww kinamkera kwahiyo hebu tafta namna yakujipatia starehe yako bila kuwabugudhi wanaokuzunguka.
 
Mbona wanawake mnawafanya kuwa kama watu wa makosa kila siku jamani, wanawake wameumbwa hawawezi kusema kitu moja kwa moja tuwazoee hayo maneno alikua anafikisha ujumbe kwako kwamba upunguze ulevi ni hatari kwa afya kwa upendo kwakwambia hivo lakini lishetani lako linakutuma kwamba atakuua kisa ulevi wako. Acheni hzo wadau kwa upande wangu wanawake nawakubali sana japokua wameumbwa kama Asset kwa sisi wanaume lakini sio sababu za kuchukulia kila kitu watakacho kisema Negativity..
 
Ukitoka hapo unakuja na nyuzi nyingine mke wangu hanijali anamchepuko kumbe kisababishi ni wewe mwenyewe,acha pombe
 
Mlikutana ukiwa unakunywa kama unavyokunywa sasa? Hapo ndipo tatizo linapoanzia ila kama mlikua mnaficha kucha kabla hamjakutana Hilo ndio tatizo zaidi
 
Unapokuwa unakunywa pombe peke yako hata kama ni kidogo,ile harufu ya pombe kwa asiyekunywa huwa ni kero,kwahiyo mkeo kakuvumilia sasa kafika mahali kachoka imebidi aropoke ya moyoni...
 
Back
Top Bottom