Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi utakuwa bado umelewa. Ulevi ukiisha utaelewa alikuwa na maana gani?Hello watanzania wenzangu!
Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.
Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick.
So last weekend wife alitoa kauli flani ambayo ingawa nilikua nimelewa ila ilinifikirisha sana,wife alisema kwamba hataki mtu mlevi ndani kwake. Na ikumbukwe hapo ndani mnywaji ni mimi tu.
Nikaona kabla ya kumzaba makofi niwaulize wadau, huyu mke wangu alikua na maana gani hivi?
Nenda kaiangalie hati ya nyumba mnapoiwekaga kama ipo, then uje unishukuru.Hello watanzania wenzangu!
Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.
Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick.
So last weekend wife alitoa kauli flani ambayo ingawa nilikua nimelewa ila ilinifikirisha sana,wife alisema kwamba hataki mtu mlevi ndani kwake. Na ikumbukwe hapo ndani mnywaji ni mimi tu.
Nikaona kabla ya kumzaba makofi niwaulize wadau, huyu mke wangu alikua na maana gani hivi?
Hello watanzania wenzangu!
Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%.
Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick.
So last weekend wife alitoa kauli flani ambayo ingawa nilikua nimelewa ila ilinifikirisha sana,wife alisema kwamba hataki mtu mlevi ndani kwake. Na ikumbukwe hapo ndani mnywaji ni mimi tu.
Nikaona kabla ya kumzaba makofi niwaulize wadau, huyu mke wangu alikua na maana gani hivi?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kwa hiyo aanze kushinda vijiweni anabugia kahawa kwa kashata?Au aanze kucheza bao aachane na "bia"?Hivi msiokunywa bia huwa mnaichukuliaje "bia"?