Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
Hii kazi ngumu sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁🤣We ndio unaifanya iwe ngumu, una stake 10K unaweka timu 43+ zanini? Wa stake ya tsh 200 aweke 40+ na wewe wa tsh 10K uweke hivyo kweli, lazima uliwe.
Tafuta odds zako chache weka hela sio tamaa kumbuka uwanjani uendi kucheza wewe.
Ahsante japo sijajua unacheka nini?Pole sana mukubwa😁🤣😁😁
Duh!! Umeampa za uso[emoji23][emoji23][emoji23]We ndio unaifanya iwe ngumu, una stake 10K unaweka timu 43+ zanini? Wa stake ya tsh 200 aweke 40+ na wewe wa tsh 10K uweke hivyo kweli, lazima uliwe.
Tafuta odds zako chache weka hela sio tamaa kumbuka uwanjani uendi kucheza wewe.
N maelekezo tu mkuu, tatizo tamaa zinatuweka mbali na ushindi.Duh!! Umeampa za uso[emoji23][emoji23][emoji23]
sina telegramWaone hawa jamaa Mimi nilishatoka huko Aisee Nilikua napigwa kila day ila Jamaa wamenisave pakubwa mnoo
Hawa jamaa wanajua aisee.
![]()
kumbe nipe tips basi kakaHujui Kubet mkuu me nakula kila siku ila naona tu uvivu kuanza kuelezea hapa
Hii kazi ngumu sana....
View attachment 2929946
Dunia ina mambo mengi, na maisha ni kama boti haiwezi kupack stand, ningeshinda naamini usingeniita zwazwawajinga kumbe wapo wamezagaa tu 10k unaweka timu juu ya 5 ww si zwazwa au unatafuta utajiri kwenye betting😂😂😂
"unge" 😂😂😂 hujistukii tu amka usingiziniDunia ina mambo mengi, na maisha ni kama boti haiwezi kupack stand, ningeshinda naamini usingeniita zwazwa