1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Big up mkuu.Mimi ni mwalimu kiuhalisia hakuna sheria za wizara au za nchi zinazozuia mwanafunzi kumiliki simu,ni utashi na sheria uchwara za walimu na shule
Mimi nimemiliki smu kwa kificho nilipokuwa kidato cha tano na sita na asilimia 99.9 ya wanafunzi wa kidato cha tano na sita walikuwa na simu japo sheria za shule zilikuwa zinakataza.
Ni wajibu waserikali kutoa tamko/mwongozo wa kuwaongoza walimu na wanafunzi juu ya matumizi sahihi ya simu kwa dunia ya leo ,huku ni kubinya uhuru wa wanafunzi hasa huyu wa kidato cha tano na sita ambaye ni mtu mzima,wengi wao ni miaka 18/19/20 sasa huyu unazuiaje? Wakati huo mwenzake aliyeenda vyuo vya kati mfano diploma au certifivate level akiruhusiwa kumiliki simu
Akili kubwa 👍👍👍