Mr No fair
Member
- Oct 25, 2020
- 84
- 122
Hili suala la p Diddy na kesi zake binafsi nimekataa kulichukulia kama wengi wanavyofikili
Ukiangalia Taifa kama USA ( MAREKANI) Nchi ambayo inaruhusu ndoa ya jinsia Moja kivipi Leo iwe kosa Kwa DIDY kuwatembelea kinyume na maumbile wanaume wenzie Yani Leo Diddy amegeuzwa kama Njia ya kuitangaza UGASHO Amerika haijawahi na haiwezi kuupinga Ushoga nachoamini ni Taifa linalo promote vyovyote vile sidhani kama hii ni kesi kweli
Ukiangalia watu wanaotajwa kutembea na DIDY ni wale maarufu sana!
Point ya kuwataja hao maarufu ni Ili watu waone ni kitu cha kawaida kwamba Hadi Fulani kafanya? Wanajua vijana wengi wanaiga life style ya hao watu kuanzia mavazi,muonekano na matukio mbalimbali
Si la kushangaa Hamis muuza mikaa hapo mtaani ukisikia akijiita African giant 😂😂 au Juma muuza maji.akijiita meek mill wa buza Nk
Ni rahisi huyu hamis kuiga UGASHO wa burna boy au Juma kuiga ugasho wa meek mill
Kwahiyo hii inshu ni matukio kama matukio mengine ya kuifanya Dunia Ione hili suala ni la kawaida sana watu wasiogope
Ukiangalia watu wengi walioattackiwa na hili suala hawaonyeshi kukataa kujibu au kupinga kuwa hawahusiki au wamesingiziwa au kuonyesha kuumizwa na haya matukio yanayohusishwa nao
Kwangu naona ni namna nyingine ya kuitangaza UGASHO DUNIANI
Ukiangalia Taifa kama USA ( MAREKANI) Nchi ambayo inaruhusu ndoa ya jinsia Moja kivipi Leo iwe kosa Kwa DIDY kuwatembelea kinyume na maumbile wanaume wenzie Yani Leo Diddy amegeuzwa kama Njia ya kuitangaza UGASHO Amerika haijawahi na haiwezi kuupinga Ushoga nachoamini ni Taifa linalo promote vyovyote vile sidhani kama hii ni kesi kweli
Ukiangalia watu wanaotajwa kutembea na DIDY ni wale maarufu sana!
Point ya kuwataja hao maarufu ni Ili watu waone ni kitu cha kawaida kwamba Hadi Fulani kafanya? Wanajua vijana wengi wanaiga life style ya hao watu kuanzia mavazi,muonekano na matukio mbalimbali
Si la kushangaa Hamis muuza mikaa hapo mtaani ukisikia akijiita African giant 😂😂 au Juma muuza maji.akijiita meek mill wa buza Nk
Ni rahisi huyu hamis kuiga UGASHO wa burna boy au Juma kuiga ugasho wa meek mill
Kwahiyo hii inshu ni matukio kama matukio mengine ya kuifanya Dunia Ione hili suala ni la kawaida sana watu wasiogope
Ukiangalia watu wengi walioattackiwa na hili suala hawaonyeshi kukataa kujibu au kupinga kuwa hawahusiki au wamesingiziwa au kuonyesha kuumizwa na haya matukio yanayohusishwa nao
Kwangu naona ni namna nyingine ya kuitangaza UGASHO DUNIANI