Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 490
- 704
Mbona hutembei uchi basi maana nguo siwalileta wazungu, changia mada achana na imani za watuNje ya mada,hawa Waarabu wametuletea ushungi halafu wenyewe wameutupa sijui ni lini Mwafrika ata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hutembei uchi basi maana nguo siwalileta wazungu, changia mada achana na imani za watuNje ya mada,hawa Waarabu wametuletea ushungi halafu wenyewe wameutupa sijui ni lini Mwafrika ata
Dharau kubwa sana ,tena ya kujitakiaRais inabidi asindikizwe na Vigogo wa ngazi za juu, sio Waziri
View attachment 2008034
Misri ni chimbuko la Uislamu, ni mwanachama wa OIC, ni mwanachama wa Arab League. Kwa 90% ni Islamic Nation. (Ingawa hata Mozambique ni mwanachama wa OIC, pia Israel ni mwanachama wa OIC japo Wayahudi wako 75%, ila Israel imejiunga OIC kwa maslahi ya Kiulinzi na Usalama (kufanya ujasusi kwa nchi za Kiarabu ili iweze kukaa salama))Si nchi ya kiislamu ni nchi yenye idadi kubwa ya waislamu
Misri siyo nchi ya Kiafrika?Rais wa misri amekwenda Paris ufaransa anakohudhuria mkutano wa kimataifa unaohusiana na maridhiano.
Ila nimefurahishwa na hii picha, waziri mwandamizi wa nchi ya kiislamu mwanamama yeye kapiga suti rais wetu nchi ya kiafrika kageuka mwarabu.
Ha ha haDharau kubwa sana ,tena ya kujitakia
Wengi ni vuguvugu.
Sasa hapo nchi ya kiislamu imekujaje?na toka lini uislamu umeanzia misri? Uongo mtupuMisri ni chimbuko la Uislamu, ni mwanachama wa OIC, ni mwanachama wa Arab League. Kwa 90% ni Islamic Nation. (Ingawa hata Mozambique ni mwanachama wa OIC, pia Israel ni mwanachama wa OIC japo Wayahudi wako 75%, ila Israel imejiunga OIC kwa maslahi ya Kiulinzi na Usalama (kufanya ujasusi kwa nchi za Kiarabu ili iweze kukaa salama))
Ila ni ya wapi?Misri siyo nchi ya Kiafrika?
Kwa hiyo wanaovaa ushungi maana yake ni waislamu wa mlengo mkali?Waislamu wengi wa Misri sio wa mrengo mkali
Ehee hayo ya ushungi wake hayatuhusuPia Misri ni nchi ya kiislamu kwanini huyo dada Waziri havai ushungi?
Ushungi kwani umetoka misri?Nje ya mada,hawa Waarabu wametuletea ushungi halafu wenyewe wameutupa sijui ni lini Mwafrika ataamka.
Ni ya kiislamu ila serikali yake sio theocratic.Subiri wale brotherhood wachukue dola patakua kama Iran.Pia Misri ni nchi ya kiislamu kwanini huyo dada Waziri havai ushungi?
Yaani wewe unafikiri kuwa nchi ya kiislamu ndo wote wawe waislamu??Pia Misri ni nchi ya kiislamu kwanini huyo dada Waziri havai ushungi?
Hijabu ni vazi la baadhi ya makabila ya kiarabu. Tena si yote, baadhi!Hijabu ni vazi la kiislsmu haijalishi mearabu muafrika Mmarekani au mwengine yoyote ni DINI ya Allah haitizami kabila uwezo au jinsia
Hana stress, kila siku anatalii tu.Mbona wanamwachia ana nenepa hivyo
Nchi nyingine viongozi wao wanakuwa bize na ratiba zao huku wakifanya delegation of chain of command... Si kama huku kwetu tukisikia kiongozi wa nchi nyingine anakuja basi inakuwa "public holiday" ya mapambo na ngoma zitaenda kupigwa kuanzia alfajiri hadi usiku wa manane!Rais inabidi asindikizwe na Vigogo wa ngazi za juu, sio Waziri
View attachment 2008034
Huyo waziri kutoka nchi ya kiislamu mbona hajajitwisha mashuka kama huyu Mzanzibari?Rais inabidi asindikizwe na Vigogo wa ngazi za juu, sio Waziri
View attachment 2008034
Kwani mama yake alikuwa anavaa mashuka na yeye?Huyo waziri kutoka nchi ya kiislamu mbona hajajitwisha mashuka kama huyu Mzanzibari?
Kwa hiyo yanakukera Sana.Ila kwa maelezo yake mwenyewe Rais Samia ameanza kuvaa ushungi baada ya kuingia kwenye siasa.wkt yupo kwenye mashirika ya mabeberu alikuwa anavaa kama huyo dada hapo.Huyo waziri kutoka nchi ya kiislamu mbona hajajitwisha mashuka kama huyu Mzanzibari?