Hii kiitifaki imekaaje?

Hii kiitifaki imekaaje?

Misri hawavai ushingi wala kanzu ni vimini na wanaume wanakula suti kalikali
Mkuu ni sahihi kabisa. Niliwahi kwenda safari moja hapo Cairo sikuamini macho yangu. Wadada walikuwa wamekula vimini wanaingia Night Club saa 6 usiku na kutoka saa 4 asubuhi.
 
Mkuu ni sahihi kabisa. Niliwahi kwenda safari moja hapo Cairo sikuamini macho yangu. Wadada walikuwa wamekula vimini wanaingia Night Club saa 6 usiku na kutoka saa 4 asubuhi.
Wamisri ni waarabu wanaoishi africa wenye mambo ya kizungu
 
Waziri wa Nchi anayeshugulika masuala ya uhamiaji na wamisri waliopo nje (diaspora) Bi. Nabila Makram.

Hapa nadhani serikali ya Tanzania, hili suala la diaspora waende kujifunza Misri jinsi ya kuwashirikisha watanzania waliopo nje washiriki ktk ujenzi wa uchumi na diplomasia.

https://www.wef.org.in › nabila-mak...
Nabila Makram | WEF - Women Economic Forum

Nabila Makram Abd El-Chahid currently holds the position of Minister of State for Emigration and Egyptian Expatriates' Affairs.
Egypt minister Nabila Makram from www.wef.org.in
 
wewe ndiyo mshamba uliyekosa cha kuongea kafiri mkubwa
Wakuu,
Kabla ya uvamizi wa Afrika, Waafrika tulikuwa na dini gani? Hatukuumbwa na Mungu huyo aliyeumba wazungu na waarabu? Ina maana dini za Waafrika hazikuwa za maana? Je, hizi dini tulizoletewa na wavamizi wa Afrika siyo kwamba ni "ahsante ukoloni?"
Tusaidiane maarifa ili sote tupone!
 
Back
Top Bottom