Hii kitu inaitwa FATE/DESTINTY Ni kweli kwenye Mahusiano ?

Hii kitu inaitwa FATE/DESTINTY Ni kweli kwenye Mahusiano ?

Colonialism

Member
Joined
Jan 17, 2025
Posts
15
Reaction score
51
Habari Wakuu , Natumai Mko poa .



Moja Kwa Moja kwenye Mada . Kwenye Harakati za Maisha yetu ya kila Siku Unfortunately Jana Nikakutana na Ex Wangu . Actually Nilifurahi Kumuona coz Ukiachana na Kua Mpenzi wangu Hapo zamani Ila Alikua rafiki angu sana kwenye Mambo Mengine ya kimaisha .



Tukasogea kwenye restaurant karibu kupata Hata Juice Ila kusalimiana vizur coz Ni Muda kidogo Tokea Kuachana kwetu na Tulipoteza Mawasiliano . Kwenye Story Mbili Tatu kasema amenikumbuka Sana Na Ana amini Mimi Ndio Fate/ Destiny Yake 😂. Maana Ameshakua kwenye Mahusiano kadhaa Ila Bado Hajapata wa Kuni replace. So anasema ametafuta sana Namba Yangu Ila alikosa and Actually Tuliachana Kwa Sababu za kitoto . So He is asking for Second Chance . Kwa upande wangu Na mm Nimemic Labda Kwa Sababu ya Changamoto ya Mahusiano Yangu Pia . And Honestly Hata Kwa Upande wangu He was My First Love So ilinichukua Muda sana Kumsahau. Tulikua Tunapendana sana ule Upendo wa Dhati kabisa with No Doubts . Ila Ukiachana na Kumkumbuka Ila Sipo Tayari kurudiana nae na Wala Sina Huo Mpango kutokana na Sababu zangu Binafsi . Ila Nataka kuuliza hiki kitu Fate kipo kweli kwenye real life hasa ya kwny Mahusiano ?
 
Wewe ushaamua kurudiana nae, unachotaka hapa ni validation ya maamuzi yako.

Fate/destiny, it's all bullshit, wewe kama unataka kupasha kiporo nenda kapashe tu ila kumbuka huwa kuna sababu ya kila mahusiano kuvunjika na binadamu huwa hatubadiliki. Ulieachana nae kipindi hicho ndio huyo huyo wa leo.

Sasa nenda bila kutarajia malaika ikiwa alikuwa shetani enzi mlizokuwa pamoja.
 
Habari Wakuu , Natumai Mko poa .



Moja Kwa Moja kwenye Mada . Kwenye Harakati za Maisha yetu ya kila Siku Unfortunately Jana Nikakutana na Ex Wangu . Actually Nilifurahi Kumuona coz Ukiachana na Kua Mpenzi wangu Hapo zamani Ila Alikua rafiki angu sana kwenye Mambo Mengine ya kimaisha .



Tukasogea kwenye restaurant karibu kupata Hata Juice Ila kusalimiana vizur coz Ni Muda kidogo Tokea Kuachana kwetu na Tulipoteza Mawasiliano . Kwenye Story Mbili Tatu kasema amenikumbuka Sana Na Ana amini Mimi Ndio Fate/ Destiny Yake 😂. Maana Ameshakua kwenye Mahusiano kadhaa Ila Bado Hajapata wa Kuni replace. So anasema ametafuta sana Namba Yangu Ila alikosa and Actually Tuliachana Kwa Sababu za kitoto . So He is asking for Second Chance . Kwa upande wangu Na mm Nimemic Labda Kwa Sababu ya Changamoto ya Mahusiano Yangu Pia . And Honestly Hata Kwa Upande wangu He was My First Love So ilinichukua Muda sana Kumsahau. Tulikua Tunapendana sana ule Upendo wa Dhati kabisa with No Doubts . Ila Ukiachana na Kumkumbuka Ila Sipo Tayari kurudiana nae na Wala Sina Huo Mpango kutokana na Sababu zangu Binafsi . Ila Nataka kuuliza hiki kitu Fate kipo kweli kwenye real life hasa ya kwny Mahusiano ?
Hivi hawa watu wote wanaoandika habari za aina hii ni lazima ''wachovye'' na vi-ngereza vya kuokoteza kila baada sentensi kadhaa?
 
lakini waliachana kwa sababu za kitoto, waliachana kizembe😂

hayo matatizo ya mahusiano mengine hayawahusu
Lakin kumbuka huyu mama bado yuko kwenye uhusiano mwingine mpaka sasa, itakuaje hapo? A break up ili aka break in kwa msela halaf nako akale kibut tena maana atakuta puchi ishasoma millage za kutosha 🤣. Probably ishalegea legea
 
Back
Top Bottom