Hii kitu inaitwa FATE/DESTINTY Ni kweli kwenye Mahusiano ?

Hii kitu inaitwa FATE/DESTINTY Ni kweli kwenye Mahusiano ?

Watanzania wana-negativity sana kuna watu wanataka kushare life experience anaogopa ndo maana hata kujiamini hatuna

Ukileta uzi wako stress za watu zote wanazimalizia kwako

Angalia mleta uzi anavyoshambuliwa bila hata kosa lolote
Hiyo ni changamoto kubwa sana
 
Habari Wakuu , Natumai Mko poa .



Moja Kwa Moja kwenye Mada . Kwenye Harakati za Maisha yetu ya kila Siku Unfortunately Jana Nikakutana na Ex Wangu . Actually Nilifurahi Kumuona coz Ukiachana na Kua Mpenzi wangu Hapo zamani Ila Alikua rafiki angu sana kwenye Mambo Mengine ya kimaisha .



Tukasogea kwenye restaurant karibu kupata Hata Juice Ila kusalimiana vizur coz Ni Muda kidogo Tokea Kuachana kwetu na Tulipoteza Mawasiliano . Kwenye Story Mbili Tatu kasema amenikumbuka Sana Na Ana amini Mimi Ndio Fate/ Destiny Yake 😂. Maana Ameshakua kwenye Mahusiano kadhaa Ila Bado Hajapata wa Kuni replace. So anasema ametafuta sana Namba Yangu Ila alikosa and Actually Tuliachana Kwa Sababu za kitoto . So He is asking for Second Chance . Kwa upande wangu Na mm Nimemic Labda Kwa Sababu ya Changamoto ya Mahusiano Yangu Pia . And Honestly Hata Kwa Upande wangu He was My First Love So ilinichukua Muda sana Kumsahau. Tulikua Tunapendana sana ule Upendo wa Dhati kabisa with No Doubts . Ila Ukiachana na Kumkumbuka Ila Sipo Tayari kurudiana nae na Wala Sina Huo Mpango kutokana na Sababu zangu Binafsi . Ila Nataka kuuliza hiki kitu Fate kipo kweli kwenye real life hasa ya kwny Mahusiano ?
Huo ni ukoloni mamboleo unakuja na usasa usasa hivi 😅
 
Wewe unataka tukupe go ahead km ulikuwa na maamuzi ulilileta kutuuliza ili iweje??
 
Ukiniambia maana ya FATE na DESTINTY natoa ushauri mzuri😄
 
Habari Wakuu , Natumai Mko poa .



Moja Kwa Moja kwenye Mada . Kwenye Harakati za Maisha yetu ya kila Siku Unfortunately Jana Nikakutana na Ex Wangu . Actually Nilifurahi Kumuona coz Ukiachana na Kua Mpenzi wangu Hapo zamani Ila Alikua rafiki angu sana kwenye Mambo Mengine ya kimaisha .



Tukasogea kwenye restaurant karibu kupata Hata Juice Ila kusalimiana vizur coz Ni Muda kidogo Tokea Kuachana kwetu na Tulipoteza Mawasiliano . Kwenye Story Mbili Tatu kasema amenikumbuka Sana Na Ana amini Mimi Ndio Fate/ Destiny Yake 😂. Maana Ameshakua kwenye Mahusiano kadhaa Ila Bado Hajapata wa Kuni replace. So anasema ametafuta sana Namba Yangu Ila alikosa and Actually Tuliachana Kwa Sababu za kitoto . So He is asking for Second Chance . Kwa upande wangu Na mm Nimemic Labda Kwa Sababu ya Changamoto ya Mahusiano Yangu Pia . And Honestly Hata Kwa Upande wangu He was My First Love So ilinichukua Muda sana Kumsahau. Tulikua Tunapendana sana ule Upendo wa Dhati kabisa with No Doubts . Ila Ukiachana na Kumkumbuka Ila Sipo Tayari kurudiana nae na Wala Sina Huo Mpango kutokana na Sababu zangu Binafsi . Ila Nataka kuuliza hiki kitu Fate kipo kweli kwenye real life hasa ya kwny Mahusiano ?
Kuwa makini wewe hamna mambo ya destiny....utagegegdwa wewe uachwe🤣🤣🤣🤣
 
Unajua zile zikijaa sana Zina sababisha hata akili inakuwa unstable kwenye maamuzi.

Jipe mda
 
Back
Top Bottom