Colonialism
Member
- Jan 17, 2025
- 15
- 51
- Thread starter
- #21
Relax bro , Jibu ni Yes or No . Mengineyo Hayakuhusu.Vyote vimalaya tu hivyo, na pengine kameshalambwa kanakuja hapa kujishaua shaua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Relax bro , Jibu ni Yes or No . Mengineyo Hayakuhusu.Vyote vimalaya tu hivyo, na pengine kameshalambwa kanakuja hapa kujishaua shaua tu
Sina Mpango wa kurudiana nae , But I wanted to know Mambo ya Fate ni Real au kudanganyana tu .kwa mtazamo wangu hapa unashawishika
kwa vile mliachana kwa sababu za kitoto tu basi jaribu tena
the worst that can happen is that you break up again.
Fate zipo na nimezisikia sijawahi kuziona live. Ex wangu wa sec ndo nilimwelewaga, huyo akisema turudiane tunalisongesha upya😆, maana tuliachana kwa upuuzi wake, ila hopefully now amekuwa . Popote ulipo X njoo turudiane🤣🤣Habari Wakuu , Natumai Mko poa .
Moja Kwa Moja kwenye Mada . Kwenye Harakati za Maisha yetu ya kila Siku Unfortunately Jana Nikakutana na Ex Wangu . Actually Nilifurahi Kumuona coz Ukiachana na Kua Mpenzi wangu Hapo zamani Ila Alikua rafiki angu sana kwenye Mambo Mengine ya kimaisha .
Tukasogea kwenye restaurant karibu kupata Hata Juice Ila kusalimiana vizur coz Ni Muda kidogo Tokea Kuachana kwetu na Tulipoteza Mawasiliano . Kwenye Story Mbili Tatu kasema amenikumbuka Sana Na Ana amini Mimi Ndio Fate/ Destiny Yake 😂. Maana Ameshakua kwenye Mahusiano kadhaa Ila Bado Hajapata wa Kuni replace. So anasema ametafuta sana Namba Yangu Ila alikosa and Actually Tuliachana Kwa Sababu za kitoto . So He is asking for Second Chance . Kwa upande wangu Na mm Nimemic Labda Kwa Sababu ya Changamoto ya Mahusiano Yangu Pia . And Honestly Hata Kwa Upande wangu He was My First Love So ilinichukua Muda sana Kumsahau. Tulikua Tunapendana sana ule Upendo wa Dhati kabisa with No Doubts . Ila Ukiachana na Kumkumbuka Ila Sipo Tayari kurudiana nae na Wala Sina Huo Mpango kutokana na Sababu zangu Binafsi . Ila Nataka kuuliza hiki kitu Fate kipo kweli kwenye real life hasa ya kwny Mahusiano ?
ni yale mambo ambayo yanategemea na unavyoaminiSina Mpango wa kurudiana nae , But I wanted to know Mambo ya Fate ni Real au kudanganyana tu .
hujatoa maelekezo ya namna ya kujibuRelax bro , Jibu ni Yes or No .
Sasa ulituhusisha ili iweje?Mengineyo Hayakuhusu.
Hiyo maana yake ni kuwa ana nyeg.e na wewe. Akishakutindua mara kadhaa ndo mtajua kama mtaendelea ama lahKwenye Story Mbili Tatu kasema amenikumbuka Sana Na Ana amini Mimi Ndio Fate/ Destiny Yake 😂.
Mimi Pia Siamin katika Kurudiana kabisa , Lkn Nilitaka kujua Upande wa pili wa hicho Nilichoambiwa kuna ukweli au anataka maslahi Kwa upande wakeKatika vitu ambavyo Huwa sitaki kuviwaza ni kurudisna na ex Kuna mambo mengi either magonjwa kupigana matukio Zaid au kupotezeana muda
Penzi likiisha liache liishie
🤣🤣Ila watu kuhusu Kurudiana hicho kitu hakipoHiyo maana yake ni kuwa ana nyeg.e na wewe. Akishakutindua mara kadhaa ndo mtajua kama mtaendelea ama lah
Nilitaka kujua ni kweli ama si kweli ..Then Maamuzi Mengine ningefanya kutokana na kupata mawazo tofauti tofautihujatoa maelekezo ya namna ya kujibu
Sasa ulituhusisha ili iweje?
Mshrikishe Aposto. Kisha ingia katika maombi ya siku 7. Jibu utalipata. Sema ameee....Nilitaka kujua ni kweli ama si kweli ..Then Maamuzi Mengine ningefanya kutokana na kupata mawazo tofauti tofauti
Hahaha,🤣🤣Ila watu kuhusu Kurudiana hicho kitu hakipo
Kwanini watanzania mna-negativity sana hii ni forum sio kosa la mleta uzi ile report ya Watanzania hawana furaha ni kweli kabisaWewe ushaamua kurudiana nae, unachotaka hapa ni validation ya maamuzi yako.
Fate/destiny, it's all bullshit, wewe kama unataka kupasha kiporo nenda kapashe tu ila kumbuka huwa kuna sababu ya kila mahusiano kuvunjika na binadamu huwa hatubadiliki. Ulieachana nae kipindi hicho ndio huyo huyo wa leo.
Sasa nenda bila kutarajia malaika ikiwa alikuwa shetani enzi mlizokuwa pamoja.
Watanzania wana-negativity sana kuna watu wanataka kushare life experience anaogopa ndo maana hata kujiamini hatunaKabla hujaandika kitu humu inabidi uwe na moyo kwa kweli 😜😅😅
Kamic kukutomba nothing else km na wewe umemic sio kesi tombaneni tuIla Ukiachana na Kumkumbuka Ila Sipo Tayari kurudiana nae na Wala Sina Huo Mpango kutokana na Sababu zangu Binafsi .
Sio fate n destiny kamic kukupanuapanua hapo chiniIla Nataka kuuliza hiki kitu Fate kipo kweli kwenye real life hasa ya kwny Mahusiano ?