Hiyo ni changamoto kubwa sanaWatanzania wana-negativity sana kuna watu wanataka kushare life experience anaogopa ndo maana hata kujiamini hatuna
Ukileta uzi wako stress za watu zote wanazimalizia kwako
Angalia mleta uzi anavyoshambuliwa bila hata kosa lolote
That's called Colonialism 😂😂Kama huna mpango wa kumrudia unahitaji majibu yanini?
Huo ni ukoloni mamboleo unakuja na usasa usasa hivi 😅Habari Wakuu , Natumai Mko poa .
Moja Kwa Moja kwenye Mada . Kwenye Harakati za Maisha yetu ya kila Siku Unfortunately Jana Nikakutana na Ex Wangu . Actually Nilifurahi Kumuona coz Ukiachana na Kua Mpenzi wangu Hapo zamani Ila Alikua rafiki angu sana kwenye Mambo Mengine ya kimaisha .
Tukasogea kwenye restaurant karibu kupata Hata Juice Ila kusalimiana vizur coz Ni Muda kidogo Tokea Kuachana kwetu na Tulipoteza Mawasiliano . Kwenye Story Mbili Tatu kasema amenikumbuka Sana Na Ana amini Mimi Ndio Fate/ Destiny Yake 😂. Maana Ameshakua kwenye Mahusiano kadhaa Ila Bado Hajapata wa Kuni replace. So anasema ametafuta sana Namba Yangu Ila alikosa and Actually Tuliachana Kwa Sababu za kitoto . So He is asking for Second Chance . Kwa upande wangu Na mm Nimemic Labda Kwa Sababu ya Changamoto ya Mahusiano Yangu Pia . And Honestly Hata Kwa Upande wangu He was My First Love So ilinichukua Muda sana Kumsahau. Tulikua Tunapendana sana ule Upendo wa Dhati kabisa with No Doubts . Ila Ukiachana na Kumkumbuka Ila Sipo Tayari kurudiana nae na Wala Sina Huo Mpango kutokana na Sababu zangu Binafsi . Ila Nataka kuuliza hiki kitu Fate kipo kweli kwenye real life hasa ya kwny Mahusiano ?
Anataka amkolonise mwambinoThat's called Colonialism 😂😂
Actually inawalazimu in order to kupata wema sepetu's sauti.Hivi hawa watu wote wanaoandika habari za aina hii ni lazima ''wachovye'' na vi-ngereza vya kuokoteza kila baada sentensi kadhaa?
Ok. Upo sahihi kabisa.Kwanini watanzania mna-negativity sana hii ni forum sio kosa la mleta uzi ile report ya Watanzania hawana furaha ni kweli kabisa
Kuwa makini wewe hamna mambo ya destiny....utagegegdwa wewe uachwe🤣🤣🤣🤣Habari Wakuu , Natumai Mko poa .
Moja Kwa Moja kwenye Mada . Kwenye Harakati za Maisha yetu ya kila Siku Unfortunately Jana Nikakutana na Ex Wangu . Actually Nilifurahi Kumuona coz Ukiachana na Kua Mpenzi wangu Hapo zamani Ila Alikua rafiki angu sana kwenye Mambo Mengine ya kimaisha .
Tukasogea kwenye restaurant karibu kupata Hata Juice Ila kusalimiana vizur coz Ni Muda kidogo Tokea Kuachana kwetu na Tulipoteza Mawasiliano . Kwenye Story Mbili Tatu kasema amenikumbuka Sana Na Ana amini Mimi Ndio Fate/ Destiny Yake 😂. Maana Ameshakua kwenye Mahusiano kadhaa Ila Bado Hajapata wa Kuni replace. So anasema ametafuta sana Namba Yangu Ila alikosa and Actually Tuliachana Kwa Sababu za kitoto . So He is asking for Second Chance . Kwa upande wangu Na mm Nimemic Labda Kwa Sababu ya Changamoto ya Mahusiano Yangu Pia . And Honestly Hata Kwa Upande wangu He was My First Love So ilinichukua Muda sana Kumsahau. Tulikua Tunapendana sana ule Upendo wa Dhati kabisa with No Doubts . Ila Ukiachana na Kumkumbuka Ila Sipo Tayari kurudiana nae na Wala Sina Huo Mpango kutokana na Sababu zangu Binafsi . Ila Nataka kuuliza hiki kitu Fate kipo kweli kwenye real life hasa ya kwny Mahusiano ?
Ataenda kuliwa tena nantena alafu abwagwe tenakwa mtazamo wangu hapa unashawishika
kwa vile mliachana kwa sababu za kitoto tu basi jaribu tena
the worst that can happen is that you break up again.
Wacha kumuingiza mwenzio chakaUsipuuzie huenda ikawa kweli
Ye mwenyewe hajui anataka nini 😅Wacha kumuingiza mwenzio chaka
Amemiss de libolo la ex wakeYe mwenyewe hajui anataka nini 😅