Hii kitu naomba mnieleweshe

Hii kitu naomba mnieleweshe

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Kitabu Cha

Waefeso 5:31 BHN​

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .

Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??

Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .

Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.
 
Wanawake wengi ni wagonjwa wa akili, ndugu wa Mume wako unataka wasimtembelee kaka yao? Hao ndio ndugu zake, wewe ni mgeni na umeongezwa kwenye familia ambayo wao wamekuwa wote miaka 20+ na hao ndio watamzika.
Acha ubinafsi, we subiri upigwe mti uzae basi.
 
Wanawake wengi ni wagonjwa wa akili, ndugu wa Mume wako unataka wasimtembelee kaka yao? Hao ndio ndugu zake, wewe ni mgeni na umeongezwa kwenye familia ambayo wao wamekuwa wote miaka 20+ na hao ndio watamzika.
Acha ubinafsi, we subiri upigwe mti uzae basi.
Mmh! Hiyo ni uongoo utaacha wazazi sio hata ndugu uambatane na mkeo muwe kitu kimoja ndugu hapo hawajausishwa wameachwa tayari ndio maana Kuna harusi yaani mnamuaga akaanza maisha yake
 
Acha kuwa na roho ya ubinafsi kwani we ndio unahudumia familia na kutoa hela ya matumizi ya kila siku...!?
 
Kitabu Cha

Waefeso 5:31 BHN​

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .

Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??

Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .

Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.
Umeolewa lini kwanza
 
Kama hao ndugu zake nao wamekua mwili mmoja na kaka yao hapo Kuna tatizo ila Kama hawako mwili mmoja sioni tatizo,,,, sisi wazazi huwa tunawatuma watoto wetu kwa kaka yao kwenda kusoma tabia ya wifi/ shemeji yao kama inafaa au ni mbaya tupate jinsi ya kumtreat mapema asije akatukosanisha na kijana wetu tuliemlea kwa jasho na damu kwa miaka Zaid ya 20.
 
Kitabu Cha

Waefeso 5:31 BHN​

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .

Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??

Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .

Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.
Biblia imesema atawaacha baba na mama yake. Haijasema atawaacha ndugu, marafiki au michepuko.
 
Kitabu Cha

Waefeso 5:31 BHN​

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .

Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??

Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .

Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wewe ulitaka ukimpa kitu akuzabe kibao? Asante nayo nongwa!!!!!

Em wake zetu punguzeni uchoyo.... Angekuwa kaja ndugu yako ungekuja kutuadisia??
 
Ndoa changa inahitaji space
Ili wapendano waenjoy mapenz yao kabla ya kashkash za kwenye ndoa hazjaanza

Mgeni wa siku 1 au mbili sio ishu,
Changamoto Ni mgeni wa kukaa jumla jumla na nyumba yenyewe unakuta space Ni ndogo
 
Kwanza nikusifu na kukupongeza Unique Flower kwakuwa mmoja wa wanawake wachache wanaofuatilia maandiko ya Biblia na kuyaishi Mungu akubariki sana.. pili nafikiri unapaswa tu kutumia hekima kumshauri mume wako aondoe hilo ombwe na kuishi na watu wengine kwenye familia yenu nimeshuhudia visa vingi kwenye familia hizi za kitanzania baada ya wanandoa kuanza tabia ya kuwahifadhi ndugu majumbani, na sasa tunaishi kwenye zama za uovu wa kila namna hivyo sishauri kuendekeza ndugu kuishi kwenye nyumbani mwenu japo mnaweza kuwasaidia kwa namna nyingine ila ni vyema kila mtu akakae kwake kwa afya ya ndoa yenu na uzao wenu... endelea kuwa mke mwema kwa kuishi maandiko..
 
Kitabu Cha

Waefeso 5:31 BHN​

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .

Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??

Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .

Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.
Ililenga kuonyesha vipaumbele/priorities,unapooa nafasi ya wazazi kama ilikuwa ya pili baada ya Mwenyezi Mungu inabadikika,inapaswa kuwa Mungu then timiza mahitaji ya familia ndio mengine yafuaye kama wazazi na ndugu.
Kama wazazi walikuwa wandani wako unapooa au kuolewa inabadilika pia.
Ni dhambi kabla ya kuijali familia yako ukajali kwanza watu wa nje.Hii ina hekima ni vizuri kujua wapi,wakati gani na kwenye mazingira gani pa kuchora mstari kati ya familia yako na watu wa nje ya familia(extended family).
Ni vizuri ku-deal na mazingira unayoyasema kwa hekima sana,kwanini ndugu wako hapo kwa muda gani wanafanya Nini nk,kama hayana athari kivile let it go.
 
Back
Top Bottom