Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
HujaelezeaWanawake wengi wanaasili ya uchoyo, ndugu wamwanaume wakija nongwa., Ndugu zake wakija full kicheko.
Mmh! Hiyo ni uongoo utaacha wazazi sio hata ndugu uambatane na mkeo muwe kitu kimoja ndugu hapo hawajausishwa wameachwa tayari ndio maana Kuna harusi yaani mnamuaga akaanza maisha yakeWanawake wengi ni wagonjwa wa akili, ndugu wa Mume wako unataka wasimtembelee kaka yao? Hao ndio ndugu zake, wewe ni mgeni na umeongezwa kwenye familia ambayo wao wamekuwa wote miaka 20+ na hao ndio watamzika.
Acha ubinafsi, we subiri upigwe mti uzae basi.
Kuna nini nditoo
Umeolewa lini kwanzaKitabu Cha
Waefeso 5:31 BHN
“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”
Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .
Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??
Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .
Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.
Biblia imesema atawaacha baba na mama yake. Haijasema atawaacha ndugu, marafiki au michepuko.Kitabu Cha
Waefeso 5:31 BHN
“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”
Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .
Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??
Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .
Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.
Kitabu Cha
Waefeso 5:31 BHN
“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”
Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .
Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??
Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .
Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.
Kuna nini tena hapa mrembo
Ililenga kuonyesha vipaumbele/priorities,unapooa nafasi ya wazazi kama ilikuwa ya pili baada ya Mwenyezi Mungu inabadikika,inapaswa kuwa Mungu then timiza mahitaji ya familia ndio mengine yafuaye kama wazazi na ndugu.Kitabu Cha
Waefeso 5:31 BHN
“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”
Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena inakuwaje kakiuka maandiko .
Mnavyoooa mmeoa mje mkajenge familia yenu na mzae nampate watoto.
Ila hata honeymoon haijaisha mtu ashatinga Kwa kaka yake kaja kufanyaje ??
Au kusaidia kushika mguu hakunaga haya mnachotafuta Nini na shukurani hazishi kila kitu ukimpa yupo Asante shemeji sijaolewa na ukoo nimeolewa na mwanaume mmoja wapuuzi kabisa .
Kwenu Hili mnalionaje wazoefu wakuletewa vioja nyumbani.