Uchaguzi 2020 Hii Kweli Mashine; 96% Kampeni Hajachoka Mwili Wala Akili

Uchaguzi 2020 Hii Kweli Mashine; 96% Kampeni Hajachoka Mwili Wala Akili

Mungu atutangulie sote ktk maamuzi tar 28/10 kisha tuweze kufikia Nchi ile ya Maziwa na Asali chini ya Kamanda wetu Mh Lissu.
 
Mpaka hivi tunavyoongea Tundu Lissu ...kura za maoni kwa 75%
Sample size ya waliohojiwa katika utafiti huu ni Kamati kuu Chadema!!! Sasa kama asilimia 25% ya injini ya chama cha Chadema haimtaki Lissu ujasiri mnautoa wapi wa kumpigia kura Lissu!
 
Hahahaha nimecheka Sana...jibu zuri Sana...hajui huyo...anadhani wanaokuja kwenye kampeni wote no wapiga kura...hajui kuwa asilimia 90 ya wapiga kura hubaki majumbani ...wakisubiri siku ya siku...
Hivi CCM inawacha Mungu?Acheni kuiba kura tuone kitakachotokea
 
Msaliti wa Nchi anaruhusiwa kupiga kampeni hata ubeligiji

Ila Tanzania hatutaki ushoga,

Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
 
Katika historia ya Chaguzi za vyama vingi tokea 1995 haijapata kutokea mgombea aliyepiga kampeni mfululizo na kutimiza takribani 96% ya malengo ya ratiba yake bila kuonyesha kuchoka kwa mwili au Akili kiasi cha kuzoza hovyo bila kutumia Akili kama ilivyo kwa Tundu Lissu mgombea kutoka Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema.
Hakika hii ni machine au chuma cha pua kabisa ukilinganisha na wagombea wenzake tena wengine wazoefu zaidi yake.
Na lakushangaza ni kuwa Lissu huwa anaicheza show mwenyewe jukwaani, hana cha msanii wala blabla za viongozi wengine eti hotuba za utangulizi.
Hakika nadhani Mungu karuhusu tuingie majaribuni jee tutashindwa kuona uwezo huu na kuendelea na ujinga kama kawaida yetu kisha atuache jumla kama Somalia na kwingineko kwenye neema ya maliasili lakini ujinga umetamalaki.
Hats mgombea mwenza yupo nondo kama bosi wake.
 
Lissu atashinda kampeni magufuri atashinda uchaguzi Tarehe 28/10/2020

Kwa wizi wa kura sawa lakini kama wakithibiti wizi njia nyeupee kwa Lissu hivi kama atashinda angekuwa anahangaika kuvalisha tshirt watoto wa shule na kufunga ofsi zote za serikali. Mbona Lissu anapata watu na shule zikiendelea na wafanyakazi wakiwa kazini kama kawaida. Hapo kuna dalili mbaya kwa mgombea anayetaka mitano tena
 
Msaliti wa Nchi anaruhusiwa kupiga kampeni hata ubeligiji

Ila Tanzania hatutaki ushoga,

Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
Inavyoelekea umeathirika sana na ushoga, jizuie tu kwan kuna mtu anakubaka kama anakulazmisha vyombo vya sheria vipo, usiogope kusema, yawezekana sisi tunaona ni tatizo dogo kumbe umeumia pakubwa, pole sana.
 
Hata lowassa ilikuwa hivyo hivyo 2015!

Acha kumlinganisha na huyo Lowasa wako bwana hata hawakaribiani hivo Lowasa alifanya kampeni wapi si ndo maana Magufuli alikuwa anapiga push up mwaka huu anapiga magoti
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Inavyoelekea umeathirika sana na ushoga, jizuie tu kwan kuna mtu anakubaka kama anakulazmisha vyombo vya sheria vipo, usiogope kusema, yawezekana sisi tunaona ni tatizo dogo kumbe umeumia pakubwa, pole sana.
 
Lissu ni kiboko Mungu amlinde na Mahasidi wa CCM
 
Ni kama walimwongezea nguvu kwa zile risasi.
Halafu ni jasiri kuliko walipokuwa hawajamshambulia. Hakika huyu ndiye afaaye.
Lissu Sio Jasili Sema yupo kwenye nchi Ambayo Yuko huru na Kuna Amani. Kwa upuuuzi anaofanya huko Majukwaani kusingizi Rais ndio alitoa Amri apigwe Risasi Angekuwa nchi nyingine angekuw Anayea ndoo
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Hivi harakati za Makonda kufukuza mashoga Dar ziliishia wapi? tukumbushane basi au Lissu ndiye alimwambia asitishe lile zoezi.
 
Hata kampeni kashashindwa, yaani anawaahidi watanzania kuwa atawarejeshea madaraka kama ilivyo kuwa wakati wa ukoloni!!! Kuna kampeni humo kweli!!!?
Wewe ulielewa hivyo? "Wakati wa ukoloni wananchi walikuwa na madaraka"? Hata swali dogo kama hili huwezi kulidadisi ili uelewe kilichosemwa? Wewe ni robot!
 
Kwani mwizi ameandikwa usoni kuwa ni mwizi...michadema inaweza kuwa ni mijizi..Kama michadema ni miuaji Kama kule Njombe na Tunduma itashindwaje kuwa mijizi?!?! Uliwahi kusikia wapi CCM wameua kwenye kampeni za siasa? Ila michadema siyo tu kuwa inaua Bali inachoma hata ofisi zao eti ionekane CCM ndio wamechoma.

Very stupid...likiongozi jingine limelewa konyagi na kuteguka mguu mijitu yake ikatangaza kuwa eti amepigwa na watu wanaoitwa wasiojulikana...
 
Hivi unadhani wanamuziki au wasanii ni wapiga kura...wale ni wahamasishaji tu...halafu wapi kazini...hawahamasishi bure..wanalipwa wale..
Ungesoma ili unielewe kabla ya kuquote, umekuwaje mzee siku hizi?
 
Hehehe sio vizuri kumnanga mgonjwa.[emoji28][emoji28][emoji28]maradhi yanaleta na Mola
Hapana mkuu, kuna mengine sio ya Mola. Kama yale ya kuwasomba kila cheupe ukionacho Kona bar (nasikia hulka hiyo ilikuwepo) si vizuri tumsingizie Mola
 
Angekuwa 'hajachoka' kamwe 'asingesema' kuwa 'Uchaguzi' ukimalizika na akijua 'anaushindwa' asubuhi tu basi 'anarejea' zake 'Belgium' Kutibiwa.
Siku hizi utadhani umefanyiwa operesheni ya kuondoa kichwa na kuweka boga.
 
Back
Top Bottom