Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
- Thread starter
- #21
Huo ni urafi...uwezi kula vitu ambavyo toka uzaliwe aujawai kula utadhurika mkuu.Kwani ukila unakufa? Katika vitu ambavyo wewe huli, umepokea tu na wala hujui kwa nini huli... UMERITHISHWA KUWA HAVILIWI...
Umeshawahi kujiuliza kwa nini wanyama au wadudu fulani wanaliwa maeneo fulani, lakini maeneo mengine hawaliwi? MAPOKEO