Mgagani ni huuUkisikia mgagani orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.
Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za maboga kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!
Hahahaha!!R.I.p
Hii biashara ya mchicha ni nzuri sana😀😀Shauri yao mi simo mpwa! 😁
Na akili za kuambiwa waongeze na zao!
Huo ni 'mchicha pori'.Mchicha pori mwekundu je! Unaliwa ama sumu?
Na upandaji wake ni kama mchicha tuliouzoea?
Hivyo nikisema nijaribu kuupanda unakubali kwa all season kwa maana kiangazi na masika?
Mchicha pori nimetokea kuupenda sana sana, ila huu mwekundu unanipa mashaka kama unaliwa.
View attachment 2934369View attachment 2934370
Msaada wenu wanajamvi.
Herbalist Dr MziziMkavu n.k
🤣🤣🤣🤣 kaka utasababisha hiyo michicha iliwe kwa kiwango cha juuUkisikia mgagani orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.
Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za maboga kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!
Kumbe? Mi huwa naona wanafunzi wanachambia tu huko maporiniHuo uwekundu ndio utamu wake
Acha kuchungulia watoto wa watu 😂Kumbe? Mi huwa naona wanafunzi wanachambia tu huko maporini
Ndiyo lengo langu sis. Ni mizuri sana kwa afya ya mwili katika ujumla wake.🤣🤣🤣🤣 kaka utasababisha hiyo michicha iliwe kwa kiwango cha juu
Kazi ninayo mkuu,waking’atwa na nyoka kesi zetu...usimamizi muhimuAcha kuchungulia watoto wa watu 😂
Mkoa gani mkuu?Kumbe? Mi huwa naona wanafunzi wanachambia tu huko maporini
IringaMkoa gani mkuu?
Maana hii michicha inabagua udogo pa kuota, kuna maeneo haipo kabisa na kuna maeneo ipo lkini ni ya baridi.
Huko inakuwaga ya baridi au michungu?Iringa
Sijawahi kulaHuko inakuwaga ya baridi au michungu?
Asante mjukuu wa Manyaunyau.Ukisikia mgagani orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.
Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za maboga kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!
Mtatuongezea idadi ya watu wanaohitaji kusafishwa damu. Kitu haujawahi kula unamchuuza mwenzako.ni miongoni mwa mboga mujarabu sana huku kwetu,
yote nyekundu na isiyo nyekundu tunaitumia barabara🐒
asubuhi ni mboga ya faster fasta sana, chapchap na kiporo cha kuchoma au kupasha, na mchana na ugali mujarabu wa dona na maziwa mtindi 🐒
wewe acha kabisaa mimi na wanainchi wangu ni bam bam kwenye misosi....