Hii mboga inaliwa? Msaada wenu!

Hii mboga inaliwa? Msaada wenu!

Ukisikia mgagani orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.

Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za maboga kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!
Mgagani ni huu
 

Attachments

  • E81F0FD6-6421-4B96-AB1C-65C924965CD2.png
    E81F0FD6-6421-4B96-AB1C-65C924965CD2.png
    7.9 MB · Views: 3
Kuna baadhi ya vitu vikupite... umeishiwa mboga zingine mpk uhangaike na Mchicha pori...
 
Mchicha pori mwekundu je! Unaliwa ama sumu?

Na upandaji wake ni kama mchicha tuliouzoea?

Hivyo nikisema nijaribu kuupanda unakubali kwa all season kwa maana kiangazi na masika?

Mchicha pori nimetokea kuupenda sana sana, ila huu mwekundu unanipa mashaka kama unaliwa.
View attachment 2934369View attachment 2934370

Msaada wenu wanajamvi.

Herbalist Dr MziziMkavu n.k
Huo ni 'mchicha pori'.

Kwa sura na wajihi ni kama mchicha wa kawaida wa kijani, isipokuwa wenyewe ni mwekundu.

Kuna baadhi ya maeneo mchicha huu ni mchungu sana kama mgagani (Shinyanga na Simiyu)na maeneo mengine ni wa baridi kama ulivyo mchicha wa kawaida.

Aina zote, yaani mchungu na baridi unaliwa bila shaka yoyote.
 
Ukisikia mgagani orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.

Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za maboga kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!
🤣🤣🤣🤣 kaka utasababisha hiyo michicha iliwe kwa kiwango cha juu
 
Ukisikia mgagani orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.

Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za maboga kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!
Asante mjukuu wa Manyaunyau.
 
ni miongoni mwa mboga mujarabu sana huku kwetu,
yote nyekundu na isiyo nyekundu tunaitumia barabara🐒
asubuhi ni mboga ya faster fasta sana, chapchap na kiporo cha kuchoma au kupasha, na mchana na ugali mujarabu wa dona na maziwa mtindi 🐒

wewe acha kabisaa mimi na wanainchi wangu ni bam bam kwenye misosi....
Mtatuongezea idadi ya watu wanaohitaji kusafishwa damu. Kitu haujawahi kula unamchuuza mwenzako.
 
Back
Top Bottom