Hii midoli ya fasheni kwenye maduka inayovalishwa nguo za ndani inavunja maadili

Hii midoli ya fasheni kwenye maduka inayovalishwa nguo za ndani inavunja maadili

Maadili gani wewe? Zamani enzi za mababu zetu mbona walikua wanakaa vifua wazi

Damn whats wrong with people nowadays too sensitive
 
Eti maadili!!!!

Ndio yale mnayaitaga maadili ya kitanzania sijui?

Hivi huwa yameandikwa wapi nikayasome?

Siku hizi hata ukijamba unaambiwa umevunja maadili ya kitanzania!

Hebu mtueleze, hayo maadili ya kitanzania mmeyaandika kwenye msaahafu gani na sisi tukaperuzi!?
 
Dahhhhh....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo huwa unadisa...[emoji1787][emoji1787]
 
You know this is bullshit right?
Tokea turuhusu wanawake wavae suruali

Ndio yakaanza kuja matukio ya ajabu Kama haya ambayo yanaonekana no kawaida.
 
Midoli idumu ilinipa tunda kimasihara

Baada ya kuingia duka flani nkamkuta mdada mzuri tu kwa kula anamvalisha chupi
Alivoniona tu tukagongesha macho akawa ananionea aibu kama unavojua nkapata giaa ya kuingia

Kilichofuata ni kuingia uchumi wa Kati kwa kishindo

Nimefupisha sana
 
Hahaha mi nilidhani lisingevalishwa chupi na sidiria ndio lingekuwa uchi?!

Au cha aibu hapo ni chupi na sidiria sio uchi wenyewe?!

Au tunatofautiana kuelewa uchi ni nini ?!
 
Ni ushamba na unyama tu.Kwanza huwa yanatisha .Mimi sehemu ambako yapo huwa siingii.
 
Kaka. Wewe chupi unazivua sana achilia mbali sidiria.
Chupi unaziona sana zimeanikwa hapo ulipopanda Tena nyingine zina mpauko hapo makao makuu. Nini Cha ajabu madukani?
 
Back
Top Bottom