Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo anaugwadu balaa
Maadili gani wewe? Zamani enzi za mababu zetu mbona walikua wanakaa vifua wazi
Damn whats wrong with people nowadays too sensitive
You know this is bullshit right?
Wanaume marijali wamepungua Sana mkuu,
Ndio maana inaonekana ni Jambo la kawaida kabisa,
Kitu ambacho sio kweli.
Tokea turuhusu wanawake wavae suruale
Ndio yakaanza kuja matukio ya ajabu Kama haya ambayo yanaonekana no kawaida.