Litakuwa la kipuuzi mara ngapi wakati wakina Lucas mwashambwa ndio Think-tank.Sometimes hata usipoandika uzi mkuu inafaa, sio lazima uandike kila siku,
Kwa hio tunakuwa taifa linaloogopa midoli ? Just midoli? Kwamba sasa kuweka mdoli nje ni kosa ?
Hili taifa sasa litakuwa la kipuuzi,
Mkuu...Kuna mahali nikipita kila siku wamemvisha nguo na kufunua titi moja lipo wazi
πΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉ kuna midoli ina kisirani unaona kabisa papuchi imevimbaaa na kutuna kama tumbua. Unaachaje kudinda kwa mfano ππΉπ€£π€£π€£π€£ wizo nimecheka mpk nimepaliwa, kumbe sisi tukiweka midoli madukani kuna watu wanadinda πππ
Unataka uvumbue nini?Mkuu...
Ebu nielekeze nami nipite kesho nikaone...π
Mzee midoli inakuwa uchi wa mnyama tena ina chuchu za kukuvutia huoni shida hapo? ππSometimes hata usipoandika uzi mkuu inafaa, sio lazima uandike kila siku,
Kwa hio tunakuwa taifa linaloogopa midoli ? Just midoli? Kwamba sasa kuweka mdoli nje ni kosa ?
Hili taifa sasa litakuwa la kipuuzi,
Huna lolote we nyamkomwe, upwiru tu umekujaa.
Ungeenda Ulaya ukakutana na sanamu zenye mboro naZani ungeandamana kabisa.
Ukienda uRaya unakutana na sanamu zenye miboro konki tena ziko kwenye public spaces.
Wadada wanapata tabu sana kuangalia ile miboro ya masan
Umeongelea wapi mkuu,ulaya,utamaduni wa ulaya si wa Afrika,mfano ulaya mnaweza kunyonyana ndimi lakini Afrika never tofaHuna lolote we nyamkomwe, upwiru tu umekujaa.
Ungeenda Ulaya ukakutana na sanamu zenye mboro naZani ungeandamana kabisa.
Ukienda uRaya unakutana na sanamu zenye miboro konki tena ziko kwenye public spaces.
Wadada wanapata tabu sana kuangalia ile miboro ya masanamu.
Chimbo jipyaππUnataka uvumbue nini?
Siyo hisia,ukiwa unaambatana na mwanao sokoni tena wa kike halafu ukutane na midoli ipo uchi unadhani utawaza vizuri,hapa tunazungumzia maadili ya kiafrika na watoto wetu wanajifunza nini kutokana na wanachoona?Ni aina ya ugonjwa wa akili. Binadamu unakuwa na na hisia mpaka kwa masanamu?
Hivi nyie ndo mmeambiwa mnaletewa midoli ya kuoa au siyo nyinyi binadamu? Ili kupunguza matumizi kwa wanawake ambao ni binadamu ? Msijitoe akili bwanaWacha ushamba wewe. Kama mji umekushinda rudi kwenu Nangurukuru. Yaani hizo "dummies" zinakupandisha nyege?? Halafu unasinguzia maadili. Nyie ndiyo wbakaji, sasa unatamani kubaka "dummy" (sanamu).
Naongelea tofauti ya picha za kawaida za uchi na nyuchi za midoli siyo watu halisi mkuuTofautisha midoli na watu halisi, hatuwez kuwa taifa linaloogopa hadi midoli
Hii nilifikiria mda mrefu sana.Na nashangaa wapo viongozi wa dini,lakini hakuna anayekemea kuhusu hili.Hongera sana kulileta hapa.Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza
Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.
Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo
Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?
Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi
Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?
Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
itakua hajafuturu mpaka sasaNaona Dkt. Gwajima D mmemfanya Bibi yenu π€£π€£
Sasa naona ameshakuwa Waziri wa Midoli..?
Mkuu ni skanka au umechukua Cha wapi??
Sasa unataka gwajima Akemee Midoli kutovalishwa Nguo na maduka Uko serious Kweli??
Yaani waziri asimame atangaze kuwa analaani maduka ambayo hayavalishi Midoli nguo?
Akifanya hivyo Nitamuona Sio waziri Bali binadamu wa Ajabu sana kuwahi kutokea na itabidi Nichore jina lake kwenye kitabu cha kumbukumbu..
Mkuu punguza Stress Maana ninachokiona katika uandishi wako hakika ni Stress
Mkuu kiuhalisia ile midoli unajua ni Kama binadamu hivi,kasoro uhai,sasa kutana na mdori upo uchi na matiti yapo wazi na kiumbo linalingana na binadamu, think twice mkuuπ€£π€£π€£π€£ wizo nimecheka mpk nimepaliwa, kumbe sisi tukiweka midoli madukani kuna watu wanadinda πππ