Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Kwa namna hiyo midoli ilivyoundwa lazima kwa mwanaume RIJALI ikushughulishe.Kama ww hupatagi hisia consult a physician utakuwa na changamoto ya erection.
Usinimbie wewe ni jamii ya wanyama wasio na utashi na akili za utambuzi. Je, kwa bahati mbaya ukimwona mama yako yuko uchi utapata changamoto za erection?
 
wanawke wenywe wanajidhalilisha,,angalia wasanii wa kike wanavovaa!
 
wanawke wenywe wanajidhalilisha,,angalia wasanii wa kike wanavovaa!
Wanavaa hovyo wakiwa wapi? Barabarani kwenye shughuli zao za kawaida?
Kama kwenye starehe ni sawa wavae vyovyote haina shida maana ni usiku na kama ukienda maana yake unakubaliana na uvaaji wao.
Na wanavyoonyeshwa kwenye Tv ni jukumu lako wewe mzazi kulinda watoto wako wasiangalie programs na miziki isiyofaa kwa watoto.
 
Basi ipitishwe sheria kuwa ni marufuku kuyaacha uchi au kuyavalisha vichupi. Wavalishwe nguo za heshima
Ewaa lkn pia kuna wafanyabiashara wao wanauza product moja tu mfano ana nguo za ndani na kike na bla..unadhani huyu anatumia njia gani kuonesha product zake ? Na midoli huwa inapendeza hiyo balaa
 
da!!!,,,kumbe bahari,maziwa,vijito na mifereji haina tofauti!!
 
Wewe ndo tatizo. Oa au piga nyeto kila siku.
 

Sio stress tu apunguze upwiru. Aoe au apige nyeto kupunguza upwiru
 
Wewe hupati hamu kuangalia hiyo miboro ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…