Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Kwa namna hiyo midoli ilivyoundwa lazima kwa mwanaume RIJALI ikushughulishe.Kama ww hupatagi hisia consult a physician utakuwa na changamoto ya erection.
Usinimbie wewe ni jamii ya wanyama wasio na utashi na akili za utambuzi. Je, kwa bahati mbaya ukimwona mama yako yuko uchi utapata changamoto za erection?
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
wanawke wenywe wanajidhalilisha,,angalia wasanii wa kike wanavovaa!
 
wanawke wenywe wanajidhalilisha,,angalia wasanii wa kike wanavovaa!
Wanavaa hovyo wakiwa wapi? Barabarani kwenye shughuli zao za kawaida?
Kama kwenye starehe ni sawa wavae vyovyote haina shida maana ni usiku na kama ukienda maana yake unakubaliana na uvaaji wao.
Na wanavyoonyeshwa kwenye Tv ni jukumu lako wewe mzazi kulinda watoto wako wasiangalie programs na miziki isiyofaa kwa watoto.
 
Basi ipitishwe sheria kuwa ni marufuku kuyaacha uchi au kuyavalisha vichupi. Wavalishwe nguo za heshima
Ewaa lkn pia kuna wafanyabiashara wao wanauza product moja tu mfano ana nguo za ndani na kike na bla..unadhani huyu anatumia njia gani kuonesha product zake ? Na midoli huwa inapendeza hiyo balaa
 
Wanavaa hovyo wakiwa wapi? Barabarani kwenye shughuli zao za kawaida?
Kama kwenye starehe ni sawa wavae vyovyote haina shida maana ni usiku na kama ukienda maana yake unakubaliana na uvaaji wao.
Na wanavyoonyeshwa kwenye Tv ni jukumu lako wewe mzazi kulinda watoto wako wasiangalie programs na miziki isiyofaa kwa watoto.
da!!!,,,kumbe bahari,maziwa,vijito na mifereji haina tofauti!!
 
Naona Dkt. Gwajima D mmemfanya Bibi yenu 🤣🤣
Sasa naona ameshakuwa Waziri wa Midoli..?
Mkuu ni skanka au umechukua Cha wapi??

Sasa unataka gwajima Akemee Midoli kutovalishwa Nguo na maduka Uko serious Kweli??

Yaani waziri asimame atangaze kuwa analaani maduka ambayo hayavalishi Midoli nguo?

Akifanya hivyo Nitamuona Sio waziri Bali binadamu wa Ajabu sana kuwahi kutokea na itabidi Nichore jina lake kwenye kitabu cha kumbukumbu..

Mkuu punguza Stress Maana ninachokiona katika uandishi wako hakika ni Stress

Sio stress tu apunguze upwiru. Aoe au apige nyeto kupunguza upwiru
 
Huna lolote we nyamkomwe, upwiru tu umekujaa.

Ungeenda Ulaya ukakutana na sanamu zenye mboro naZani ungeandamana kabisa.

Ukienda uRaya unakutana na sanamu zenye miboro konki tena ziko kwenye public spaces.

Wadada wanapata tabu sana kuangalia ile miboro ya masanamu.
Wewe hupati hamu kuangalia hiyo miboro ?
 
Back
Top Bottom