Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Hii mada mtoa mada ameileta ni point kubwa ila pengine uwasilishwaji wake.

Si sahihi kuweka midoli nje ya duka bila kuvalisha nguo ni hatari sana kwa tafsiri za jamii kuanzia watoto wadogo mpaka watu wazima kwa maana ya udhalilishaji.

Kwa kiongozi huu kwake tunaeza mpatia mtihani ikawa yeye ni ngumu kutatua tatizo hili.

watu wa sanaa na utamaduni pamoja na maadili wakemee kwa kusema na kupiga marufuku au faina ya kuweka midoli mitupu bila kuvishwa nguo nje ya duka....iwekwe faini na adhabu kwa hili....angalau Tanzania iwe na maadili na nchi jirani ziige kwetu.

Kama Mh. Dkt. Gwajima D atahusika na hili sio vibaya pia.
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Kweli wewe kichwa maji.

Waambie wapige marufuku uuzwqji wa kondom, pombe, nguo fupi kwa qanawake na wanume nk!
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Yapo ya kuzalilisha wanawake lakini siyo Hiyo Midori, huko mitaani na masokoni kama kariakoo wanawake wengi wanazalilishwa Kwa kushikwa maungo Yao, Wanapigiwa miluzi na kupigiwa kelele, alafu unakuja kudai Midori ndiyo inazalilisha,
 
Yapo ya kuzalilisha wanawake lakini siyo Hiyo Midori, huko mitaani na masokoni kama kariakoo wanawake wengi wanazalilishwa Kwa kushikwa maungo Yao, Wanapigiwa miluzi na kupigiwa kelele, alafu unakuja kudai Midori ndiyo inazalilisha,
Kama muuza duka kila siku anavalisha midoli na kuvulisha kwa nini asijenge tabia ya kushika wanawake maungo yao? Tabia ya binadamu inajengwa na uzoeshi pia
 
Mkuu
Kweli wewe kichwa maji.

Waambie wapige marufuku uuzwqji wa kondom, pombe, nguo fupi kwa qanawake na wanume nk!
tunaongelea midoli kutundikwa nje ya maduka ikiwa uchi wa mnyama na imebeba sura na umbo la binadamu! Tunawajengea nini watoto wetu
 
Roho ya uzinzi hiyo imekujaa, ile midoli haina chochote ni ww na tamaa zako..!!! Nyie ndio mnabaka vikongwe na watoto
Kwani picha za ngono huwa zina lolote lakini ukiziangalia huwa unahisi nini? Lile limdori limebeba sura na umbo la binadamu kuna tofauti gani na picha za uchi ?
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Wengi wamekuja kukupinga,ila me nakuunga mkono kwa Hoja yako,una jua unapo zungumzia MMOMONYOKO WA MAADILI KWA KIZAZI HIKI KINACHO KUJA unajenga maana pana sana ya maisha ya vizazi hivi vijavyo,tuna wazoesha watoto wetu,wadogo zetu kuona haya mambo ya kawaida ila maafa yake baadae ni makubwa,sio kwamba hawataishi wataishi vizuri tu kutokana na vipato vyao ila litakuja swala la MAADILI KWAO LITAKUWA NI BOVU KULIKO HIVI SASA.
 
Sometimes hata usipoandika uzi mkuu inafaa, sio lazima uandike kila siku,

Kwa hio tunakuwa taifa linaloogopa midoli ? Just midoli? Kwamba sasa kuweka mdoli nje ni kosa ?

Hili taifa sasa litakuwa la kipuuzi,
Uzi uko vizuri sana.Tatizo mnapenda muandike nyinyi tu.Midoli ikiwa uchi kuna tofauti gani na picha za utupu?
Msipende kukosoa kila kitu jaribu kukubali mawazo ya wengine pia.
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Pumba
 
Back
Top Bottom