Hii miguu ya mtoto Tunda noma kweli!! kama ya Usain Bolt

Status
Not open for further replies.
alafu ana matege makali kama mcheza football.
 
sio too old, ni ukweli ambao wengi wa dada na mama zetu hawataki kukubali.
huko ni kukaa uchi, wenyewe wanaita uhuru. mtoto wa kike unaweka manyonyo na kifua almost out, vitu ambavyo anapaswa kuona mumeo tu unaviweka hadharani, eti uhuru. Madude yenyewe basi yalivyokuwa ndala...ptuuuu!
 
Kwa hiyo miguu ilivyokomaa hata mchunga ng'ombe kule kwetu kijijin Lughombo Tukuyu haon ndan. KM KWEL HUYU BINTI HIYO NI MIGUU YAKE HALIS KWA KWEL NIMESIKITISHWA NA KUKATISHWA TAMAA KWELIKWELI
 
sio photoshop, ukitaka kujua picha ni photo shop au sio angalia kivuli cha picha hiyo, cheki kivuli cha mkono wake kwenye mapaja hayo, utagundua ni real
Acha kudanganya umma wewe, kivuli ni kitu cha kawaida kwenye photoshop na watu huwa wanaeka sanaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…