Hii mimba itakuwa ya nani?

Ko inawezekana p2 ilimsaliti
Inavyoonekana Kijana A ana uchumi mzuri Ila Kijana B anaunga

Kwanini nasema hivi

Wewe sio mara yako ya kwanza kutumia P2 bila Shaka unajua ufanisi wake katika kufanya Kazi

Sasa haiwezakani umeze P2 kwa Kijana A then utake kusema mimba (ujauzito) ni wa Kijana A badala ya B
 
Mwambie aitoe asitujazie wanaharam Duniani single maza waliopo wanatosha
 
Leteni huku kama kila mtu anaikwepa
 
Mimba kweli ni yake asitafute mchawi, anaimiliki yeye
 
Kama tarehe umezitaja sawasawa basi kijana wa kwanza alikutana naye siku ya 10 ambayo hakuwa na sababu ya kunywa P2 ilikuwa siku salama labda kama mzunguko wake wa period ni mdogo sana.

Na kijana B alikutana naye siku ya 14 siku ya yai kupevuka, siku hatarishi saa kwa wale wasiotaka mtoto. Hivyo mimba hiyo bila ubishi ni ya B.

Sijui kwanini hakunywa P2 au alimtegeshea huyu mtu
 
Naona rafiki yako anavyoenda kutapeli hela ya kutolea mimba huko A na B wotewataambiwa Baby nina mimba .
vichwa viwakae sawa kwanza😂😂
 
Mimba yake yeye alieibeba na kwa muenendo wake chances are atakuja pewa kijana C hiyo mimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…