DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Inavyoonekana Kijana A ana uchumi mzuri Ila Kijana B anaungaKo inawezekana p2 ilimsaliti
Yeah,aliposema alitumia P2 basi jibu likapatikana coz P2 kazi yake ni kuvuruga mbegu ..hivyo mchezo wa kwanza ulivurugwa wa pili ikala kwakeDon’t tell me 🙉
Kwanza huyo rafiki yako ni wewe!Hii mimba itakuwa ya nani?
Mwambie aitoe asitujazie wanaharam Duniani single maza waliopo wanatoshaHabari wanajf natumaini muwazima na mnaendelea vema na majukumu ya kila siku,kwa wale wenye changamoto yoyote poleni
Husika na kichwa hapo juu,Ipo hivi nina rafiki yangu ni mjamzito ila sasa haelewi mimba ni ya nani kati ya vijana hao wawili aliofanya nao tendo.
Kwa maelezo yake anadai aliingia period tarehe6 mwezi wa pili tarehe16 akaenda kuonana na kijana A huyo alkuwa nae usiku mzima asubuhi wakaamkia baada ya hapo akanywa p2
Tarehe20 akaenda kuonana na kijana B wakafanya yao sasa binti amenasa na anashindwa kuelewa mimba ni ya nani japo kwa kijana A alitumia p2 ila kwa kijana B baada ya tendo hakuchukua tahadhari yoyote. Tusaidieni wakuu kwa hiyo situation ilivyo hapo mimba itakuwa ya nani?
Na je mtu anaweza tumia p2 na akapata mimba kweli yan tuseme labda p2 imemsaliti au mimba ni ya kijana B
Najua humu hakuna kinachoshindikana wakuu😁
Sawa mamii wewe usitumie ili tupate wetu mmoja maana umri unaenda ujue.Yeah,aliposema alitumia P2 basi jibu likapatikana coz P2 kazi yake ni kuvuruga mbegu ..hivyo mchezo wa kwanza ulivurugwa wa pili ikala kwake
Kinoma nomaKo inawezekana p2 ilimsaliti
Huyo Kijana A ana hati hati ya kusingiziwa mzigo ambao sio wake.Angalia mwenye hela umsingizie hiyo mimba, wanaume wengi hawajui umuhimu wa DNA.
Kataa ndoa wanapata ushindi kila siku.
Leteni huku kama kila mtu anaikwepaHabari wanajf natumaini muwazima na mnaendelea vema na majukumu ya kila siku,kwa wale wenye changamoto yoyote poleni
Husika na kichwa hapo juu,Ipo hivi nina rafiki yangu ni mjamzito ila sasa haelewi mimba ni ya nani kati ya vijana hao wawili aliofanya nao tendo.
Kwa maelezo yake anadai aliingia period tarehe6 mwezi wa pili tarehe16 akaenda kuonana na kijana A huyo alkuwa nae usiku mzima asubuhi wakaamkia baada ya hapo akanywa p2
Tarehe20 akaenda kuonana na kijana B wakafanya yao sasa binti amenasa na anashindwa kuelewa mimba ni ya nani japo kwa kijana A alitumia p2 ila kwa kijana B baada ya tendo hakuchukua tahadhari yoyote. Tusaidieni wakuu kwa hiyo situation ilivyo hapo mimba itakuwa ya nani?
Na je mtu anaweza tumia p2 na akapata mimba kweli yan tuseme labda p2 imemsaliti au mimba ni ya kijana B
Najua humu hakuna kinachoshindikana wakuu😁
Mimba kweli ni yake asitafute mchawi, anaimiliki yeyeHiyo mimba ni yake kwa asilimia mia.
Kama alitumia p2 atafite usaidizi kwa wote wawili.
Ahudhurie clinic mbili tofauti kila mmoja ampeleke kwake.
Siku ya kujifungua asafiri mkoani akajifungue. Aandikishe cheti cha mkoani na akija Dar aandikw kingine.
Na life liendelee.
😅 ni huzuni hadi dawa zimeanza usaliti🙌Kinoma noma
Yaan aibu etiAcha umalaya, huoni kinyaa kulombwa na wanaume tofauti kwa muda mfupi hvy?
Rafiki yake wapi, huyo ni mleta mada mwenyeweMshauri huyo rafiki yako aache umalaya, wanaume tunajua hii imetoka kutumika soon Au ina muda kiasi after use.
Wamefanya nini auntie